Kuna kipindi nilisema tuna CB wengi sana haina haja ya kuleta CB wengine.Next season tutakuwa na Saliba tunaongeza CM, Winger, CF. hapo vipi wakuu kenye Rebuild hiyo.
Halafu sasa CB wetu wakiwa huko kwenye mikopo ni starters na wanaperform vizuri tu. Saliba ndiyo anaperform kama vile lengo lake kumthibitishia Arteta jinsi alivyo miyeyusho.
Back pass ya White jana ni mambo ya David Luiz, tulianza kuyasahau hayo lakini naona kama vile White anaenda kua Maguire. Inakua ngumu kuendana na amount aliyonunuliwa.
Magalhaed amefanya poa na Rob. Mari kafanya poa na Rob. Kwanini anaonyesha dalili zote za kumdrop Rob? Uzuri mpira unachezwa nje kila mtu anaona.
Hii picha ya chini na maelezo yake nataka nikutumie ujisikie raha.