Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nafikiri Mou alikua na decent run pale united. Kama wangempa wachezaji aliowataka nafikiri wangepata zaidi.
..better tujadili tu kuhusu timu yetu..mengine hayana msingi bro kwenye huu uzi wetu.
 
Mkuu jibu la hili swali lako ni pana japokua ukiangalia vizuri uendeshwaji wa Man U, City, Chelsea, Bayern utagundua kuna mambo mengi wanazingatia katika kumu appoint ama kumfukuza coach. Ntakupa mifano michache hapa chini.

Bayern kumfukuza Carlo
Madrid kumfukuza Carlo
Chelsea kumfukuza Carlo
Chelsea kumfukuza Mourinho (1st term)
Spurs kumfukuza Mourinho
United kumfukuza Mourinho
Chelsea kumfukuza Conte
Man City kumfukuza Pellegrin

Au wacha nikuulize swali rahisi tu. Unadhani kati ya Mourinho na Ryan Mason nani alikua na chance kubwa ya kushinda Carabao against City? Jibu ni obvious kwamba ni Mourinho, na Spurs walilijua hilo. Lakini kwanini walimfukuza just before a final cup game?
At times hua inatokea timu mbili zinapokutana watu mnaamini uwezo wa kocha utatatua tatizo ila Spurs na City zikikutana hakuna namna utaiamini Spurs.

Considering rekodi yao ya trophy ndiyo unazidi kukosa amani.
 
..better tujadili tu kuhusu timu yetu..mengine hayana msingi bro kwenye huu uzi wetu.
Sasa kama watu wakiandika vitu hamchangii ndiyo inabidi tujadili hata ishu zingine.

Huyu Tomiyasu ni CB Arteta amepush jamaa anunuliwe ili awe kama RB. Kuna wenzetu humu wamesema jamaa hua anacheza kama RB mimi binafsi sijawahi kumuangalia.

Kwahiyo nasema tu kwamba huyo ni Chambers mwingine. Timu ina maCB kibao wengine hadi wapo kwa mkopo timu zingine lakini jamaa kaleta tena CB.

Na wachezaji 6 waliosajiliwa Arsenal world class ni Odegaard wengine wote Edu kasema wamefocus kwenye future.

Sawa mfano tunakubali kafocus na future. Vipi kuhusu sasa? Kuna nani na nani wa kucover hizo nafasi?

Liva ilistruggle kwa miaka zaidi ya 5 usione wanaongea kwa heshima wanakumbuka kilichowakumba. Yaani kwa maneno ya Arteta na Edu wanachomaanisha ni tunahitaji misimu mitatu mingine ya kuishi kijinga.
 
Mkuu jibu la hili swali lako ni pana japokua ukiangalia vizuri uendeshwaji wa Man U, City, Chelsea, Bayern utagundua kuna mambo mengi wanazingatia katika kumu appoint ama kumfukuza coach. Ntakupa mifano michache hapa chini.

Bayern kumfukuza Carlo
Madrid kumfukuza Carlo
Chelsea kumfukuza Carlo
Chelsea kumfukuza Mourinho (1st term)
Spurs kumfukuza Mourinho
United kumfukuza Mourinho
Chelsea kumfukuza Conte
Man City kumfukuza Pellegrin

Au wacha nikuulize swali rahisi tu. Unadhani kati ya Mourinho na Ryan Mason nani alikua na chance kubwa ya kushinda Carabao against City? Jibu ni obvious kwamba ni Mourinho, na Spurs walilijua hilo. Lakini kwanini walimfukuza just before a final cup game?
[/
Jibu la hilo swali ni jepesi mkuu, makocha wanafukuzwa kwa kutomeet expectations walizopewa

Mou alikaa Spurs miezi 17,
Alisajili wachezaji 9
Alifukuzwa April wakati msimu unaenda kuisha Spurs ilikuwa nafasi ya 7, Msimu anafukuzwa alilose 13 games in all competition.

match played EPL 58 win 27, draw 14, lose 17.
Average point per game 1.6 compared to pochettinos 1.89

27 points dropped from winning position
(11) final 10 minutes of the game

winning rate 51% of his game in charge

knocked out by Dinamo Zagreb UEL

suala alifukuzwa muda gani hilo sio la msingi, kitu cha msingi ni hizo number , mkuu unahisi alionewa?
 
Nafikiri Mou alikua na decent run pale united. Kama wangempa wachezaji aliowataka nafikiri wangepata zaidi.

Matusi haya Mzee castr

Sanchez katoka Arsenal wa moto
Lukaku katoka Everton wa moto
pogba,Fred,zlatan, Mikhi,
more than £370m spent by Mou at united
 
#Zlatan: "In 2010, I scored 2 goals against Arsenal in the 1st leg, for the return leg I was injured so I said to #Messi: 'Listen little one, it's your turn to carry the team on your shoulder'. He made 4. I said congratulations today you were better than Zlatan" 🤣🤣🤣
 
Matusi haya Mzee castr

Sanchez katoka Arsenal wa moto
Lukaku katoka Everton wa moto
pogba,Fred,zlatan, Mikhi,
more than £370m spent by Mou at united
Lakini kuna wachezaji hawakuletwa pale na wengine yeye mwenyewe alisema ni wa kawaida na wengine wana utoto.

Rashford, Martial, Pogba akawataja ni vinabo.
 
Lakini kuna wachezaji hawakuletwa pale na wengine yeye mwenyewe alisema ni wa kawaida na wengine wana utoto.

Rashford, Martial, Pogba akawataja ni vinabo.

Mou hujiona kwenye Victim side always, alisajili wachezaji 11 united
 
Hamna hela ya kumlipa Conte
Edu amehojiwa na Sky Sports.

Anakuambia "We need time" mtangazaji akamkatisha "There is not time in football"

Anyway, kaongea mengi lakini ambacho nimesum up ni kwamba Arsenal siyo timu ya ushindani kwa sasa, timu ambazo once tulikua nazo sawa au tumeziacha kiuwezo kwa sasa zimetuacha mbali. Anadai kwamba roho inamuuma ila haina namna zaidi ya kujipanga.

Kuna taarifa zinadai Arsenal imefanya makubaliano ya mwanzo na Conte kwamba akishindwa kupindua kinachoendelea mpaka October basi Conte atastep in.

Kwa yeyote ambaye anadhani Arsenal ina chansi ajue wazi kwamba haipo huko kwa sasa Arsenal inatambaa. Edu anasema unahitajika muda anasahau Arteta alisema anahitaji miaka 3 kabla hajaenda kupambania UCL? Yeye Arteta pia anadai anataka muda.

Mimi naona namna pekee ya kuinusuru Arsenal instantly ni kumteua Arsene Wenger ili awe CEO wa timu. Kisha muache yeye aamue kila kitu.

Kama unataka kuhama timu basi muda ndiyo huu.
 
Fabrizio Romano anaripoti kwamba hakuna makubaliano yoyote kati ya Arsenal na Conte hivyo Arteta bado yupo sana.
 
Arsenal

now.arsenal
@now_arsenal

The Arsenal legends & their
Image
Image
Image
12:40 PM · Sep 7, 2021·Twitter for iPhone

119
Retweets
61
Quote Tweets
1,205
Likes







manwithoutborders








manwithoutborders


Reply






P™
@SemperFiArsenal
·
6h

Replying to
@now_arsenaI
Wenger ofcourse


4

3

222




Daniel Oates (Pixel Coffee House)
·
5h

Gotta be this right?


Arsene Wenger Crowd GIF

GIF




1

46




Bruce
@MiNiMe_1991
·
4h

Replying to
@now_arsenaI
Easily Wenger, one of
@Arsenal
Guardian angels
Image





15




Paul Bates
@paulgbates
·
2h

Replying to
@now_arsenaI
You forgot Herbert!! Whilst there are no shortage of choices I think marking the 1971 double side 50 years on would be great for those squad members still with us and their families, whether that is a statue of Frank McLintock with the cup or Charlie George celebrating!
Image
 
Back
Top Bottom