Nafikiri Mou alikua na decent run pale united. Kama wangempa wachezaji aliowataka nafikiri wangepata zaidi.Mtoa comment anasema Mou alifanikiwa United, sawa sijakataa, ila swali
je walimuonea kumfukuza?
Nafikiri Mou alikua na decent run pale united. Kama wangempa wachezaji aliowataka nafikiri wangepata zaidi.Mtoa comment anasema Mou alifanikiwa United, sawa sijakataa, ila swali
je walimuonea kumfukuza?
..better tujadili tu kuhusu timu yetu..mengine hayana msingi bro kwenye huu uzi wetu.Nafikiri Mou alikua na decent run pale united. Kama wangempa wachezaji aliowataka nafikiri wangepata zaidi.
At times hua inatokea timu mbili zinapokutana watu mnaamini uwezo wa kocha utatatua tatizo ila Spurs na City zikikutana hakuna namna utaiamini Spurs.Mkuu jibu la hili swali lako ni pana japokua ukiangalia vizuri uendeshwaji wa Man U, City, Chelsea, Bayern utagundua kuna mambo mengi wanazingatia katika kumu appoint ama kumfukuza coach. Ntakupa mifano michache hapa chini.
Bayern kumfukuza Carlo
Madrid kumfukuza Carlo
Chelsea kumfukuza Carlo
Chelsea kumfukuza Mourinho (1st term)
Spurs kumfukuza Mourinho
United kumfukuza Mourinho
Chelsea kumfukuza Conte
Man City kumfukuza Pellegrin
Au wacha nikuulize swali rahisi tu. Unadhani kati ya Mourinho na Ryan Mason nani alikua na chance kubwa ya kushinda Carabao against City? Jibu ni obvious kwamba ni Mourinho, na Spurs walilijua hilo. Lakini kwanini walimfukuza just before a final cup game?
Sasa kama watu wakiandika vitu hamchangii ndiyo inabidi tujadili hata ishu zingine...better tujadili tu kuhusu timu yetu..mengine hayana msingi bro kwenye huu uzi wetu.
Mkuu tunawapa mawazo mapya.mapuuza naona michelsea na nyumbu mmeaumua kuuvamia huu uzi, KEJELI SAWA, ila matusi siyo poa.

unajua mkijichanganya na sisi washindi pengine tutawaambukiza winning spirit......joking mkuuMimi hujanijibu na wakati huo huo unataka nikujibu wewe swali lako?
Ni vyema ukajijibu we mwenyewe maana akili zako zinakutosha we mwenyewe.
Mkuu jibu la hili swali lako ni pana japokua ukiangalia vizuri uendeshwaji wa Man U, City, Chelsea, Bayern utagundua kuna mambo mengi wanazingatia katika kumu appoint ama kumfukuza coach. Ntakupa mifano michache hapa chini.
Bayern kumfukuza Carlo
Madrid kumfukuza Carlo
Chelsea kumfukuza Carlo
Chelsea kumfukuza Mourinho (1st term)
Spurs kumfukuza Mourinho
United kumfukuza Mourinho
Chelsea kumfukuza Conte
Man City kumfukuza Pellegrin
Au wacha nikuulize swali rahisi tu. Unadhani kati ya Mourinho na Ryan Mason nani alikua na chance kubwa ya kushinda Carabao against City? Jibu ni obvious kwamba ni Mourinho, na Spurs walilijua hilo. Lakini kwanini walimfukuza just before a final cup game?
[/Jibu la hilo swali ni jepesi mkuu, makocha wanafukuzwa kwa kutomeet expectations walizopewa
Mou alikaa Spurs miezi 17,
Alisajili wachezaji 9
Alifukuzwa April wakati msimu unaenda kuisha Spurs ilikuwa nafasi ya 7, Msimu anafukuzwa alilose 13 games in all competition.
match played EPL 58 win 27, draw 14, lose 17.
Average point per game 1.6 compared to pochettinos 1.89
27 points dropped from winning position
(11) final 10 minutes of the game
winning rate 51% of his game in charge
knocked out by Dinamo Zagreb UEL
suala alifukuzwa muda gani hilo sio la msingi, kitu cha msingi ni hizo number , mkuu unahisi alionewa?
Nafikiri Mou alikua na decent run pale united. Kama wangempa wachezaji aliowataka nafikiri wangepata zaidi.
Lakini kuna wachezaji hawakuletwa pale na wengine yeye mwenyewe alisema ni wa kawaida na wengine wana utoto.Matusi haya Mzee castr
Sanchez katoka Arsenal wa moto
Lukaku katoka Everton wa moto
pogba,Fred,zlatan, Mikhi,
more than £370m spent by Mou at united
Lakini kuna wachezaji hawakuletwa pale na wengine yeye mwenyewe alisema ni wa kawaida na wengine wana utoto.
Rashford, Martial, Pogba akawataja ni vinabo.
Hebu andika kwa kiswahiliEven Tammy Abraham av most goal and assist in league than entire Arsenal team this season
Hata Tammy Abraham ana magoli na assist nyingi katika ligi kuliko timu nzima ya ArsenalHebu andika kwa kiswahili
Edu amehojiwa na Sky Sports.
Anakuambia "We need time" mtangazaji akamkatisha "There is not time in football"
Anyway, kaongea mengi lakini ambacho nimesum up ni kwamba Arsenal siyo timu ya ushindani kwa sasa, timu ambazo once tulikua nazo sawa au tumeziacha kiuwezo kwa sasa zimetuacha mbali. Anadai kwamba roho inamuuma ila haina namna zaidi ya kujipanga.
Kuna taarifa zinadai Arsenal imefanya makubaliano ya mwanzo na Conte kwamba akishindwa kupindua kinachoendelea mpaka October basi Conte atastep in.
Kwa yeyote ambaye anadhani Arsenal ina chansi ajue wazi kwamba haipo huko kwa sasa Arsenal inatambaa. Edu anasema unahitajika muda anasahau Arteta alisema anahitaji miaka 3 kabla hajaenda kupambania UCL? Yeye Arteta pia anadai anataka muda.
Mimi naona namna pekee ya kuinusuru Arsenal instantly ni kumteua Arsene Wenger ili awe CEO wa timu. Kisha muache yeye aamue kila kitu.
Kama unataka kuhama timu basi muda ndiyo huu.
Kwa hivyo ali fail?Matusi haya Mzee castr
Sanchez katoka Arsenal wa moto
Lukaku katoka Everton wa moto
pogba,Fred,zlatan, Mikhi,
more than £370m spent by Mou at united
Dah, umemfutisha mwana comment yakeHebu andika kwa kiswahili

Hahaha nilikua sijajua kama kaamua kuifutaDah, umemfutisha mwana comment yake![]()