Mwamaleki
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 738
- 2,979
Hapana. Kuloa hiyo ni overstatement. Kikosi kilikua kizuri. Japo kilikua kime under perform kwenye domestic ligi kwa miaka 2 mfululizoAh basi we umechanganya mambo.
Kuna jamaa alisema Pep alipokea timu ya wakubwa imeloa nikamkatalia. Hamna sehemu nilisema alikua hana CV.
Basi mi na wewe hatuna cha kuongea kama ni hivi.
