👇👇***** imagine mmepaki kichwa cha treni halafu bado mtunguliweView attachment 1912628
Binafsi naona body wasione shida kumrudisha mzee Wenger ili asaidie kuweka mambo kwa kuwa sio kitu kipya kufanya hivyo tukumbuke hata bayern Munich walifanya hivyo kipindi fulani baada ya kocha wao kustaafu lkn alirudishwa kwa msimu mmoja kuweka mambo sawaKwasasa arsenal anapigania vitu viwili prospect/future na legacy/brand.hapa ndipo mzee Wenger anapoingia ,wakati ozil na Sanchez wanakuja arsenal hawakuja kwa trust ya timu bali walikuwa na imani na malezi ya kochà.huyu mzee anaweza kuleta quick recovery na akatutengenezea mpango wa muda mrefu na mpango wa muda mfupi ili ku counter crisis tuliyonayo
Dah huyo jamaa katabiri mulemule
View attachment 1916064
Si wengine tuliyajua mapema, 42774277 hili jukwaa msimu huu litakuwa la kwenu, manake hatuna cha kuongea na tukifanya masihala sioni Arsenal ikishinda japo mechi 15 sioni.
Ina maana ligi ikiisha Leo tunashuka darajaNaona dogo anazidi kukiwasha huko wakati huku akina mari wanachoma nyumbaView attachment 1916070
Hizo ni childish thinking, ligi haiwezi kuisha leoIna maana ligi ikiisha Leo tunashuka daraja
Dah kweli mkuu uliona mbali
View attachment 1916064
Si wengine tuliyajua mapema, 42774277 hili jukwaa msimu huu litakuwa la kwenu, manake hatuna cha kuongea na tukifanya masihala sioni Arsenal ikishinda japo mechi 15 sioni.
Sio kushuka darajan tu ,mnapolomoka huko league 1 ,haiwezekana mshindwe kufunga hata goli moja ....Ina maana ligi ikiisha Leo tunashuka daraja
Kwa kocha Arteta na wachezaji wale wale wanaopigiwa kelele miaka nenda rudi hakutakuwa na jipya, na kama Brentford aliwatoa jasho Arsenal timu kama Everton Spurs Manchester United Liverpool itakuwaje?hakuna haja ya kujipa moyo sababu up to now ilitakiwa Official statement ya Arteta kufutwa kazi iwe tayari imetoka but wapo kimya it means management wanafurahia haya matokeo ya point 0 na goal scored 0 katika mechi 3Tutayashinda majaribu yote, walioenda shule wanasema : we shall bounce back:
in football, hiring and firing is not a panacea for all problemsKwa kocha Arteta na wachezaji wale wale wanaopigiwa kelele miaka nenda rudi hakutakuwa na jipya, na kama Brentford aliwatoa jasho Arsenal timu kama Everton Spurs Manchester United Liverpool itakuwaje?hakuna haja ya kujipa moyo sababu up to now ilitakiwa Official statement ya Arteta kufutwa kazi iwe tayari imetoka but wapo kimya it means management wanafurahia haya matokeo ya point 0 na goal scored 0 katika mechi 3
Mpaka mshuke daraja ndo atimuliweKabisa aiseee
So what will be the future plan?to remain with the same idiot coach until the end of the season?I think the Bigger team must take reaction very quickly but instead they are quite up to now,it means they are satisfied with these results,next match fans need to take reaction by not going to the stadium vs Norwich and see what will happenin football, hiring and firing is not a panacea for all problems