Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Heat map man city vs Arsenal

20210828_152014.jpg
 
Washabiki wa hii team muda si mrefu watatuomba tuwaombee kwa magumu wanayopitia ,na kiukweli ni matumizi mabaya ya dua na maombi ,team kama Brighton ,westham zipo waamie tu huko utaratibu mwingine utafuata
 
HT. City 3-0 Gunners.
Arsenal inahitaji maombi. Kwa sasa hii timu ni ya kawaida mno.
Fanyeni maamuzi magumu. Mtimueni Arteta. Tafuteni coacher mwenye uzoefu. Wapo wengi tu. Conte, kwa mfano.

Msipokuwa makini, hali inaweza kuwa mbaya zaidi. Mnapoteza 3 game streight.
Leo kupigwa 6 ni kitu cha kawaida. Bado kina Mahrez hawajaingia hapo.
 
Back
Top Bottom