hatuhamiJamani kama mlivyo Fanya kuchagua kuishabikia Arsenal sio dhambi,kosa la madai au kosa la jinai kuitelekeza hii sio ya baba yenu ,tafuteni team nyingine zipo 19 EPL usiwe Kupe .
Kwahiyo kroenke atafutwe alipo alazimishwe kuuza au inakuaje hapa jamani?
ARSENAL ni kama mtoto yatima siye na matunzo.
Aubameyang anatembea tu!
Vipi mpaka hapoHuu ushindi utawapa wachezaji nguvu kuelekea game ya keshokutwa
Kumbe upo online eh? Arsenal naona mancity ashamaliza pakiti ya kwanza ya kondomuMost likely mimba yako ilitungiwa vichakani, mmulize vizuri babako