Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Afadhali, timu ingekuwa inaoonyesha spark of life,hakuna kabisa. Cedric Leo ni zero , ansoonyesha ni kwa Nini arteta uwa anamuachs nje
 
Washabiki wa hii team muda si mrefu watatuomba tuwaombee kwa magumu wanayopitia ,na kiukweli ni matumizi mabaya ya dua na maombi ,team kama Brighton ,westham zipo waamie tu huko utaratibu mwingine utafuata
Eti utaratb mwngne utafwata...kiukwl hakuna fan base wanapitia magumu kama Gunners hata ningekua mm ningeangusha chozi.
 
😳 hivi shabiki wa asenyo unapata wap nguvu ya kuitetea timu yako.

Arteta baada ya hii sidhani kama atapewa muda wa kuendelea kuitumikia arsenal
 
Arteta kila akifungwa goal anakunywa maji. Sijui ni kitoko ile😁😁😁
4-0 city anaongoza
 
Jitahidini mfunge goli ,mnatutia aibu London ,aiwezekani London tuitetee peke yetu ,umoja ni nguvu
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀👊😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom