Asipofukuzwa huyu nitaamini uchawi makazini upo 😂😂😂Jamani Arteta asipojiuzulu first half basi ndiyo tujue ajira ni ngumu hadi ulaya
Baba usikasirike nilikuambia zile sita hazina maana.Kingine anaenda kumuweka mmko
London is red 😁😁Hivi haiwezekani second half wakaja Westbromwich?
Ni shida bwana.Asipofukuzwa huyu nitaamini uchawi makazini upo 😂😂😂
With blood.London is red 😁😁
Red card hukoWith blood.
Naona leo umepata nguvu ya kuniquote
Sema kweli? Nani katolewa?Red card huko