Acha wivu mzee, arsenal tumeshinda 6 na tumeanza ligi ya carabao kwa kishindo kikuu![]()


nimeona mkuuJirani ee..mbona huu uzi hauna mahusiano na hichi ulichokipost..hizo sherehe zenu pelekeni kwenye special thread yenu..🤗..msijekuja kuwa kama nyumbu...naskia mmepangwa group moja na gwambinamshafuzu majiranView attachment 1910344
Apo itabidi nitupie million zangu mbili ..arse8 msiniangushe. Nikitoboa hapo tumetoboa wote ..ila nikipigwa basi ni Mimi..Dhidi ya City Arsenal ana odds 13.
Hehehe hii mechi natakiwa kuiangalia.
Hahahaha kwa hiyo na nyie arse8 mkiuza wachezaji huwa unafanya negotiations kumbe!?? Me nikadhani mkitajiwa bei mnaruka nayo tu.Sijui nini kimetokea ila Lyon wamemuweka Aouar sokoni na wapo tayari kumtoa kwa mkopo with obligation to buy.
Sasa ni kama vile Arsenal inatakiwa iswoop in ibebe mtu au siyo? Apparently inatakiwa kuondoa wachezaji 3 au 4 ili kufanya Aouar kuja pale iwe inawezekana.
Torreira kashaenda Fiorentina.
Willian na Corinthians wanaendeleza mazungumzo.
Sead anaelekea Fenerbahce na taarifa za mwanzoni zinadai yeye na bodi walikubaliana kuvunja mkataba.
Nketiah kuna ofa ya 10M mezani ila Arsenal inataka 20M.
Klabu zote zilizohusishwa na Bellerin zimeyeyuka.
Binafsi naona kuna uwezekano mkubwa asisajiliwe yeyote tena kama edu ana maono ya kuondoa watu ili kuleta watu.
Kaka wa mmiliki wa PSG ameonyesha nia ya kuinunua Arsenal. Kroenke alishagoma kuiuza kwa Daniel wa Spotify sioni kama safari hii atakubali.
We unajua Arsenal ina majeruhi wangapi?Apo itabidi nitupie million zangu mbili ..arse8 msiniangushe. Nikitoboa hapo tumetoboa wote ..ila nikipigwa basi ni Mimi..
Huyo jamaa ni kinabo halafu anataka mshahara mrefu ndiyo maana hadi leo bado yupo.Hahahaha kwa hiyo na nyie arse8 mkiuza wachezaji huwa unafanya negotiations kumbe!?? Me nikadhani mkitajiwa bei mnaruka nayo tu.
Kama huyo Willian bei ya jioni tu chukueni hiyo mjazie jazie ili msikose pesa za mshahara nyie mbuzi..
Majeruhi ndio nini?????? Hata mngekuwa fit squad nzima Arsenal hii haina uwezo hata wa kupata sare Etihad......Wachezaji wanacheza mpira kama wana Mabusha.We unajua Arsenal ina majeruhi wangapi?
Sasa mbona unakasirika?Majeruhi ndio nini?????? Hata mngekuwa fit squad nzima Arsenal hii haina uwezo hata wa kupata sare Etihad......Wachezaji wanacheza mpira kama wana Mabusha.
Wewe unasema je sasa kesho mnashinda sioSasa mbona unakasirika?
Kwahiyo unatuona Arsenal ni vinabo?


.Kiukweli hata sijui kama tutashinda.Wewe unasema je sasa kesho mnashinda sio.
Nasikia arsenal mpo kundi moja na Bayern Munich