Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,570
Unataka 3-4-3 una wachezaji wanaoweza kuwa flexible kucheza huo mfumo ?Jana nilimuonea huruma Arteta, alivyokuwa ameinamisha kichwa chini.
Next mechi anakutana na mwalimu wake Pep, hiyo mechi Arteta aingie na mfumo wa 343 ulinzi shirikishi.
Arteta Acopy na kupaste TT tactics 343 zilizomfunga pep mechi 3 mfulilizo.
Arteta Akijidanganya aingie na 433, pep atampiga risasi ya kichwa mbele za watu
I huzuni sana
dont argue like an idiot huwezi kuunganisha kikosi na kupata matokeo from day one. Tell me you idiot, how many of those new players are playing today?
Unataka kuniambia Kante, Pulisic,Mendy, Jorginho, Lukaku, Ziyech, Mount n.k wanabebwa na morali na si kwa ubora?Hziyech22 itakua umeruka pages nyingi so haujaona nilichoandika.
Chelsea haishindi kwakua ina world class players. Inashinda kwa sababu ina morali na inacheza as a unit. Wachezaji mlionao jana ndiyo walikuepo kipindi cha Lampard kipindi cha suluhu, walikuepo Arsenal alivyoshinda mara ya kwanza na ya pili na ya tatu, walikuepo wakati West bromwich anaifunga chelsea 5.
Kwa mechi za jana tu kuna timu nyingi zina world class players na zimesuluhu, juzi zipo zilizofungwa. Kwa maoni yangu morali na timu nzima kua in a fluid movement ndiyo kinapelekea ushindi. Arsenal kwa sasa haipo hivyo, lakini ni ngumu kocha kukiri timu yake haina morali.
Unataka kuniambia Kante, Pulisic,Mendy, Jorginho, Lukaku, Ziyech, Mount n.k wanabebwa na morali na si kwa ubora?
Kwani si kikosi hichi hichi ndiyo kilifungwa na Arsenal?🙄🙄🙄🙄Unataka kuniambia Kante, Pulisic,Mendy, Jorginho, Lukaku, Ziyech, Mount n.k wanabebwa na morali na si kwa ubora?
Jana nilimuonea huruma Arteta, alivyokuwa ameinamisha kichwa chini.
Next mechi anakutana na mwalimu wake Pep, hiyo mechi Arteta aingie na mfumo wa 343 ulinzi shirikishi.
Arteta Acopy na kupaste TT tactics 343 zilizomfunga pep mechi 3 mfulilizo.
Arteta Akijidanganya aingie na 433, pep atampi
Hiyo 343 Arteta kashacheza toka anachukua FA cup, Tuchel ni km kaicopy tu, mashabiki ya Cheltakoo mengi hayajuhi mpiraJana nilimuonea huruma Arteta, alivyokuwa ameinamisha kichwa chini.
Next mechi anakutana na mwalimu wake Pep, hiyo mechi Arteta aingie na mfumo wa 343 ulinzi shirikishi.
Arteta Acopy na kupaste TT tactics 343 zilizomfunga pep mechi 3 mfulilizo.
Arteta Akijidanganya aingie na 433, pep atampiga risasi ya kichwa mbele za watu
Maneno ya kocha wako kasema tulijaribu kushindana nao ila walituzidi kwasababu Wana world players na ni mabingwa wa ulaya. Kama kocha wako kakiri hiv nyinyi kwanini mnamdomo kama chuchunge
Tuliwaambia kwamba kile kigoal kimoja mlibahatisha mnabisha. Ona sasa.Kwani si kikosi hichi hichi ndiyo kilifungwa na Arsenal?
Ukimtoa lukaku?
Si hicho hicho kimetembelea suluhu na kufungwa tano?
Mbona unakua mgumu kuelewa?
Kwa hiyo kaicopy kwa arteta?Hiyo 343 Arteta kashacheza toka anachukua FA cup, Tuchel ni km kaicopy tu, mashabiki ya Cheltakoo mengi hayajuhi mpira
For sure Lukaku aliongeza ugumu looked unstoppable, ukicheki the first goal ambalo iliopen up a game , players wetu nao umakini confidence ilikuwa zero, ndio maana nasemaga kuna ulazima wa kuwa na Aouar na Odegaard they are comfortable with the ball inasaidia kuwin possession, at least 1-1 HT tungeweza shinda hii game.Kwani si kikosi hichi hichi ndiyo kilifungwa na Arsenal?🙄🙄🙄🙄
Ukimtoa lukaku?
Si hicho hicho kimetembelea suluhu na kufungwa tano?
Mbona unakua mgumu kuelewa?
Sawa moja tulibahatisha.Tuliwaambia kwamba kile kigoal kimoja mlibahatisha mnabisha. Ona sasa.
Morali na confidence kwenye timu ni bonge la ishu. Kocha alazimishe mid na forwards kushuti wakiwa nje ya 18.For sure Lukaku aliongeza ugumu looked unstoppable, ukicheki the first goal ambalo iliopen up a game , players wetu nao umakini confidence ilikuwa zero, ndio maana nasemaga kuna ulazima wa kuwa na Aouar na Odegaard they are comfortable with the ball inasaidia kuwin possession, at least 1-1 HT tungeweza shinda hii game.
Kweli nimeamini kuna deluded fans baada ya kusoma hii commentHiyo 343 Arteta kashacheza toka anachukua FA cup, Tuchel ni km kaicopy tu, mashabiki ya Cheltakoo mengi hayajuhi mpira
Nimeshangaa aiseeKwa hiyo kaicopy kwa arteta?
Ona shabiki maandazi huyu.
Braza mbona kama umechanganyikiwaKweli nimeamini kuna deluded fans baada ya kusoma hii comment
Hiyo 343 Arteta kashacheza toka anachukua FA cup, Tuchel ni km kaicopy tu, mashabiki ya Cheltakoo mengi hayajuhi mpira
EXACTLY! EXACTLY bro.Sio Hilo tu bro, unasahau jingine la kushangaza. anamuondosha William Saliba then anamuacha Pablo Mari kutuaminisha hakukosea kumsajili.
Sasa mkuu ni nani aliemleta Lokonga na kumfukuza Guendouzi?? Ambae ni fighter haswa??Mkuu ninyi mtamlaumu Arteta tu. Anzeni na wachezaji wenu. Arteta hawezi pata ushindi na hawa watoto mnaowasajili ovyo ovyo. Then upate matokeo Epl eti Rowe anategemewa afunge chelsea au mansity na kapewa namba 10 ivi ni kweli?
Arsenal mnadhalilisha hizi jezi zenu. Mtu kama Lokonga eti anapewa majukumu mazito ya kucheza mido kweli acheni utani. Mnamuonea Arteta tu. Tena nawaambia hata mkimpata kocha mzuri kiasi gani na mkaendelea na hawa wachezaji wenu mtesa tu hatuna kocha