rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854
Ipo mbovu ila sio kwa ubovu unaoonekana chini ya aterta. Chini yaKwamba timu ipo![]()
Tema mate chini....Arsenal tumeanza na mguu mbovu ila chelsea ajiandae
Humu ndani wewe ndio una akili kuliko Arsenal wenzako.Mungu atunusuru tusishuke daraja baada ya mechi 3 tutakuwa na point 0 hilo halihitaji ubishi au kutokuwa na akili timamu ya kulitambua hilo!Maadui zetu wote wanafungua msimu na point 3 za Maana!na ndio wataunda Top 4 na Top 10.Weeekend njema
Mpaka mkiri kwamba Londo is blue ndio tutaondoka humu. Vinginevyo mnatapata shida sana。Wiki ngumu hii ukizingatia Man na Chelsea wote wameshinda, wote wanahamia humu jukwaa hili lishakuwa lao.
Na kwa mwendo huu msimu huu jukwaa tutalikimbia hili.
Na hauhitaji akili nyingi, lisha onekana bado kukamilika, Chelsea kidogo watatupiga chache ila City na uona mkono.Mungu atunusuru tusishuke daraja baada ya mechi 3 tutakuwa na point 0 hilo halihitaji ubishi au kutokuwa na akili timamu ya kulitambua hilo!Maadui zetu wote wanafungua msimu na point 3 za Maana!na ndio wataunda Top 4 na Top 10.Weeekend njema
Fact kabisa hivi kwa kikosi cha jana unategemea maajabu katika next 2 matches kuwa tutashinda ?inahitaji uwe na degree ya Mirembe kuamini utashinda!hii timu kichefuchefu na msimu huu utakuwa mbaya sana hatuna Europe matches but kwa kocha huyu ,Wachezaji hao hao naapa nafasi ya 16 after May itakuwa ni kombe kwa Arsenal!naanza kutafuta jezi ya PSG soonNa hauhitaji akili nyingi, lisha onekana bado kukamilika, Chelsea kidogo watatupiga chache ila City na uona mkono.
Toka hapaTema mate chini....
Hatupigwi mkono.Na hauhitaji akili nyingi, lisha onekana bado kukamilika, Chelsea kidogo watatupiga chache ila City na uona mkono.
Kroenke anatumia AK 47 lakn Bado mnatundikwa nyingi s Bora mnipe mm mkuuMmiliki anayetumia Tecno wa nini sasa
Tupo hapa.Hatupigwi mkono.
Mechi zote 2 tutafungwa haijalishi kama ni mkono au goli 1 all in all hatutaambulia kituHatupigwi mkono.
Usituingize mkenge wewe ukashindwa kulipa mishaharaKroenke anatumia AK 47 lakn Bado mnatundikwa nyingi s Bora mnipe mm mkuu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Niamini mimi.Tupo hapa.
Unamaanisha tutafungwa na Chelsea halafu na City?Mechi zote 2 tutafungwa haijalishi kama ni mkono au goli 1 all in all hatutaambulia kitu
Husishangae ujiandae tu baada ya mechi tatu points =0,Goals = -10-.Niamini mimi.
10- ukimaanisha tutakua tunadaiwa magoli? Haiwezekani.Husishangae ujiandae tu baada ya mechi tatu points =0,Goals = -10-.
Swali gani hili kiongozi wakati ukweli unaujuaUnamaanisha tutafungwa na Chelsea halafu na City?
Mi siaminiSwali gani hili kiongozi wakati ukweli unaujua