We don’t have quality players, you see, a number of players were up for sale but no one was interested. The board didn’t take tangible initiative to make sure they buy quality players on time. How could a deal for a player take 3 weeks? It should be either done or cancelled within that time spell. I blame the players, coaching staff , edu and those stupid KSE for the defeat today.



Arsenal fun's mmechachuka kudadaki

Mkuu wewe hukuwepo kwenye genge la Emery out?? Lilioongozwa na Aron humu???Huo ndio ukweli, uwezo wa Arteta ni mdogo.
Lampard ni kocha mzuri namna anaifanya timu icheze inavutia kuangalia.Tatizo la timu nmi kocha wala sio wachezaji. Manweza kuwa na wachezaji avergae wasio weza kugombania ubingwa lakini sio wachezaji wa kufungwa na kila timu. Arteta uwezo wake ni mdogo afadhali ya Lampard
Tuongelee tuone wananchi wanasemaje kuhusu swala la Katiba Mpya, you know what?people will be ready to contribute.Let the people speak
![]()
Mkuu,Kwa kiwango hiki, it is difficult to get good players who will be willing to join our team. Arsenal is rubbish
Tuko na palaceunajuaga kuwakera
kesho tuko kwa leeds au sio
Mbavu zangu miye weeee,View attachment 1891429
Wanangu wa Arsenal wapo tayari kwa lolote kutetea timu yao


Imeingia hiyo, ichomoeUsituletee umalaya wenu wa kipare
Lampard ni kocha mzuri namna anaifanya timu icheze inavutia kuangalia.
Ila akilinganishwa na Arteta hataonekana mzuri kumzidi Arteta kwakua Arteta ameshinda vikombe na klabu ya Arsenal tayari.
Mimi naamini kama timu haina AM kocha inabidi afanye timu iwe na attacking fullbacks ili wapinzani wakifocus na hao mabeki uwape mwanya CMs kusogea mbele. Maajabu ya Arteta eti Bellerin na Cedric anawaweka nje anamuanzisha Chambers.
Mjinga
Mkuu,
Sisi ni watu wa mpira, tuwaangalie Chelsea, United, City na hata Liverpool.
Hapa hamna kitu hapa ndugu.
Kuhusu hilo watatokea kina gspain watamtetea kocha na kumsema tajiri kwamba hajatoa hela. Ila ukweli ni kwamba Arteta na Edu ndio tatizo kubwa sana zaidi ya matatizo aliyoyawacha wenga.Hii ndio inaoonyesha kwamba coach na direct of football ni takataka. Timu kwenye preseason haijashinda hata mechi moja, still hawataki kununua wachezaji