42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,836
- 8,874
Saka si yupo?Maddison hana ukali huo. Mimi binafsi naona Arsenal tunacheza kamari hapa ya kuwaridhisha mashabiki.
Arsenal ina shida na mtengeneza nafasi Maddison ana takwimu gani za kumfanya awe mtengeneza nafasi wa kumlilia? Na bahati mbaya sana mtengeneza nafasi kwa miaka hii wa kiingereza amekua Arnold, beki wa Liva, na Kane mshambuliaji.
Kwangu mimi huyu siyo mchezaji wa kuuzwa milioni 70 ila hapa ndiyo tunarudi palepale tunaposema "Ben White hana thamani ya milioni 50 ila Brighton wanaamini hiyo ndiyo thamani yake, Lukaku hana thamani ya milioni 150 ila inter wanaamini hiyo ndiyo thamani yake, Grealish hana thamani ya milioni 100 ila Villa wanaamini hiyo ndiyo thamani yake"
Arsenal ikipata winger mwenye speed, finnishing na skills hata za level ya Mahrez niamini mimi pengo la Maddison halitoonekana.
Wapi?Saka si yupo?
Siyo kweli sisi tunamtegemea MusondaEti Arsenal inamtegemea Saka kuwapa UEFA champions league, Premier league na Ligi ingine duuuu
Endapo lautaro watamuuza hela itabidi iwatokeLukaku replacement yake Duvan Zapata wa Atalanta, Lautaro ana mkataba hadi 2023 ni rahisi kuuzwa
Huyu ni Kante wanamuita mzee wa vi-Clip, mzee wa kujiweka na kudhalilishwa

Maddison hata Simuwazi Cuz Aouar is cheap na potential kuliko Maddison, akija Lautaro na aouar itakuwa balaa zaidi.Endapo lautaro watamuuza hela itabidi iwatoke
Nawajua nyie hamuwezi toa 70 kwa madders na lautaro each
Sijui niseme nini ila Willock ni aina ya mchezaji ambaye anadevelop taratibu kama unakumbuka Emery ametoa sana game time kwa Willock, Nelson na Niles. Katika hao watatu ni Niles tu ndiye alionyesha kuna kitu anafanya.Wazee Joe Willock safari imeivaa, huyu tungemvumilia hata msimu huu.
Arsenal wachezaji wazuri wanauzwa kwa vunja bei, Kwa Mfano Emi martinez, Mchezaji kama Emile Smith rowe angekuwa Norwich bei yake ungeambiwa £60m. Wakiwa Arsenal wanaBid £20m!
Kwa Lautaro akiwa on form hata akija na maddison mbona tutaona sawa tuMaddison hata Simuwazi Cuz Aouar is cheap na potential kuliko Maddison, akija Lautaro na aouar itakuwa balaa zaidi.
Umesema kweli ila willock is only 21, huyo Niles ni deadwood aende tu, Willock apewe game time akishindwa auzwe next season hata bei inaweza kuwa juu sio hiyo £22m.Sijui niseme nini ila Willock ni aina ya mchezaji ambaye anadevelop taratibu kama unakumbuka Emery ametoa sana game time kwa Willock, Nelson na Niles. Katika hao watatu ni Niles tu ndiye alionyesha kuna kitu anafanya.
Willock anapendeza kua kwenye timu ambayo inataka kufanya biashara na siyo yenye shida na kurestore glory. Willock angekua Arsenal ya Wenger ingekua poa kwake kwakua angetengenezwa kuja kuuzwa.
Arsenal hii ili ikuvumilie angalau uwe umebadilika kama unakumbuka hata Pepe aliwekwa sokoni alivyobadili muelekeo ndiyo anavumiliwa. Sancho alitoka city, pogba alitoka united, lukaku alitoka chelsea, Martinelli alikataliwa united. Hizi mambo hua zinatokea
Itakua ni kamari ujue. Kama Willock ni late bloomer itasaidia kama haitakua hivyo itakua kujutia kukataa pesa ya kipindi hichi.Umesema kweli ila willock is only 21, huyo Niles ni deadwood aende tu, Willock apewe game time akishindwa auzwe next season hata bei inaweza kuwa juu sio hiyo £22m.
Hahaha nasikia Messi anatua Arse8 ..mshindwe wenyewe kuwa mabingwa.Unavyokua unajua Timo Werner kaja ni kwavile RB wanakupa taarifa?
Messi hawezi kuja kwenye timu mimavii kama hii.Hahaha nasikia Messi anatua Arse8 ..mshindwe wenyewe kuwa mabingwa.