Arsenal (The Gunners) | Special Thread

 
In my opinion acha aje tu maana bado mdogo ana 23, Auba na laca hawa hawana muda mrefu Arsenal, Nasikia Arsenal wamejaribu kumuweka laca kwenye hili deal ila inaonekana Inter wanataka cash tu.

Kuhusu Balogun uzuri hawa watoto wengi wa Hale end, inaonekana Wenger aliwaRecruit kigezo kikubwa ilikuwa kucheza multiple positions, huyu anapiga LW ,CF. Binafsi naona watafit tu hii ya Arteta ni long term project.
 
Arsenal msimu huu deal zetu tunacheza na vijana wa miaka 23 kushuka chini.
 
 
Halafu nimesahau uliuliza Luca Jovic wa nini.

Ebwana Luca ni striker alikua akishut, mpira usipozuiwa na beki au kwenda nje basi ujue ni goli. Jamaa alikua very clinical. Shida ikawa timu aliyochagua kwenda.

Madrid pale mbele hakuna atakayechukua namba ya Benzema so hiko ndiyo kilimponza. Keep in mind mazoezini alikua anascore kuliko Benzema ila bado Zidane alikua anampa namba Benzema.

Anatolewa kwa mkopo na mechi ya kwanza tu anatia kamba, inayofuata kamba. Yaani kuscore kwake siyo swali.
 
Kesho tuwazabue bao ngapi nyie matakataka? Itabidi tuweke kikosi C akina Bakayoko na Baba rahman..na Akina Zappacosta na Drinkwater
 
Sasa kama mahari yako ilimaliziwa mpaka ukaolewa Dubai kwanini hela ya Pepe isimaliziwe?
Kesho tutaweka Akina Batshwyai, Zappacosta, Bakayoko, Baba Rahman, na wengine wote waliokuwa kwa mkopo..
Kikosi A na B mtakutananacho kwenye ligi..

Huyu Ben White tumepigwa wazee..
 
Kesho tutaweka Akina Batshwyai, Zappacosta, Bakayoko, Baba Rahman, na wengine wote waliokuwa kwa mkopo..
Kikosi A na B mtakutananacho kwenye ligi..

Huyu Ben White tumepigwa wazee..
Wewe πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kikosi B πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… hicho ni kikosi B!!!!???πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Hadi unatia uvivu jinsi ulivyo mweupe kichwani. Twende kwenye uzi wa mdada katapeliwa huko akili yako itafaa. Hapa wewe ni mtupuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Breaking news: Since Arsenal last won the Premier League:

Chelsea have won 5 Premier Leagues
Chelsea have won 5 FA Cups
Chelsea have won 3 League Cups
Chelsea have won 2 Europa Leagues
Chelsea have won 2 Champions Leagues

Tell the world London is Blue. πŸ”΅
 
Jumapili:
Chelsea vs Arsenal
Chelsea woman vs Arsenal woman

Mimi kama msemaji wa Chelsea: nasema hivi, TUNAVAMIA FAMILIA TUNAKULA MUME, MKE NA WATOTO(mashabiki)
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Arsenal bhana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ety Lokonga
 
Huu upuuzi uliishia wapi.?
 
Mshabiki halali wa chelsea nmehamia hapa kwa muda mpaka tutakapo-maliza jambo letu kwenu Asengegwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…