TayariMiaka mitatu imeisha tayari?
TayariMiaka mitatu imeisha tayari?
NAWAKUMBUSHA: Mara ya mwisho Arsenal kupata ushindi darajani ni msimu wa 11/12 na huo ndio msimu chelsea alichukua FA na UCL.
Kaka matokeo ya leo bila shaka unayo.NAWAKUMBUSHA: Mara ya mwisho Arsenal kupata ushindi darajani ni msimu wa 11/12 na huo ndio msimu chelsea alichukua FA na UCL.
Kinabo ukawa unajipa moyo baada ya kipigo. Takataka ya manispaa wewe.NAWAKUMBUSHA: Mara ya mwisho Arsenal kupata ushindi darajani ni msimu wa 11/12 na huo ndio msimu chelsea alichukua FA na UCL.
Tumepigwa 😭😭😭 ila jana baada ya kusikiliza speech ya TT niliwaambia mashabiki wenzangu wa chelsea kuwa sina imani na fainal ya leo.Kaka matokeo ya leo bila shaka unayo.
So kwa hiyo kwa mtizamo wako,bila shaka UCL tayari mshalikosa lina chukuliwa na City au............una kingine cha kutukumbusha........
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi Arsenal walishindwa kumsajili hata Rodrigo paka akacheze Leeds united? hata Tielemans, sisi huwa hatupo serious kwa kweli.
Leicester city wanamchukua Boubakary Soumare tuliwahi kuhusishwa naye huyu, hata yule Soyuncu tuliwaonesha ila wakamchukua wao na hatuna beki kama yule paka sasa, ngoja tuone this window sisi wazee wa potential player
Hata mimi hapana.Waingereza, wanampigia debe Ramsey arudi, binafsi nadhani hapana
Naunga mkonoHata mimi hapana.
from his admission, it is obvious that he was on managerial training at Arsenal, exercising trial and error, that being the case, does he deserve to be at the club as headcoach/manager? jibu ni hapana kwa sababu hajakiri kama ameiva.
What he believed is everyone in this forum believed.from his admission, it is obvious that he was on managerial training at Arsenal, exercising trial and error, that being the case, does he deserve to be at the club as headcoach/manager? jibu ni hapana kwa sababu hajakiri kama ameiva.
ZAHAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa