Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,667
Plank makalio yako takataka ww
What do you know you plank
What do you know you plank

Hivi huyu Arteta anaweza kunipa sababu kubwa 1 ya kwanini amemuanzisha Chambers badala ya Cedric?
Hili jamaa ni bure kabisa.
Arsenal hii hata akiachiwa Haji Manara anaipanga. Atuachie timu yetu kama hawezi kupanga hata kikosi.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Tulia wewe tako kubwa.Nenda kapange ww kama ni rahisi hivyo![]()
Bado hamjapata goli tu?
Naona Villa analipa fadhila za kumsaidia kubaki ligi kuu msimu uliopita
Jamaa ni majeruhi hata hivyoArteta hua hampendi Lacazzete,ndo inform striker lakini yeye kama hamuoni vile
Jamaa wamepaki basi. Timu imejikaza kupata hiko chuma kimoja.Kazidiwa, tulitakiwa kuwa na goli zaidi ya 3 mpaka halftime