Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Kelele za hao mbuzi kwishaaaaaa
Hivi king'amuzi gami kina gharama za kuvumilika kucheki epl ukiacha canal plus ambacho kulipia ni mpaka Burundi
Mh kwa tv isiyo smart hii kitu inawezekana?Zaidi ya hapo ni iptv
Mh kwa tv isiyo smart hii kitu inawezekana?
Ok poaNo labda kama una Android tv box au Apple tv
Goal lenyewe la bahati, hamna chochote mnachokifanya,Mbona hatuongezi idadi ya shots? Kipa si Kepa?
Usinilaumu bro mi mwenyewe nataka mshindeGoal lenyewe la bahati, hamna chochote mnachokifanya,
VAR lep iko upande wenu
Mmeshinda lakini hamna rahaWale mbuzi wa Chelsea huwezi kuwaona huku leo
Wewe uoni wenzako hawashangilii Huu ushindi kwasababu wanajua wameupata kwa bahati wewe uoni hata aibu mmezidiwa kila kituMimi hua nawaambia Arsenal vibonde vyake viwili tu yaani viruke vinavyoruka mwisho ni kipigo.
Mimi sioni cha kushangilia hapa. Labda nisistize tu kwamba Tuchel anawadanganya mashabiki wa chelsea hana akili hiyo wanayodai anayo.
Sasa tushangilie nini kama mechi ya kwanza timewapiga 3? Hapa tunasikitika tumetoa dozi ndogo.Wewe uoni wenzako hawashangilii Huu ushindi kwasababu wanajua wameupata kwa bahati wewe uoni hata aibu mmezidiwa kila kitu