Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Be sportman Mazee watch your language....!

Duh! Kweli kufungwa kumekunyoosha chacha. Ngebe zote kwishnei. Welcome to the real world.


Hawa walikuwa wanatafuta replay tu hakuna lingine hapa ni hela tu ila wanajichosha wenyewew tu


Its good for them uwanja wao unachukua 10,000 wakati wakija Emirates watapata mpunga mzuri tu good for them. Arsene Wenger kafanya vizuri ule uwanja wao haukuwa mzuri bora haku-risk wachezaji wazuri maana Stoke wanakuja then Wembley fainali ya Carling cup ... .... ..... very good move tutakutana nao tukitoka Wembley hapo ndipo watakapojua zipi ni mbivu.
 
Hongereni sana, naona mmejiongezea kipato kwa mechi nyingine ya ziada.
Mashabiki wengi wa Chelsea mmefurahi sana kutolewa mapema ili m concetrate kwenye PL kwani hata hiyo nafasi ya Nane mngeikosa kama Mechi zenyewe ndo za replay na wazee wenu wanachoka mapema.Anelka kacheza dk. 19 lakini alichoka na akashindwa hata kupiga penalt Khe khe khe khe

 
jamaa anamtaka tayari nini...? Hii quote imenichekesha sana.
"I've heard he's a French player that I didn't know so that is quite
surprising, but he scored a great
goal." -arsene wenger
 
Karibu kaka inaelekea wewe ni mgeni humu ndani khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


...halafu amekurupuka mpaka sebuleni, bila hata kupiga hodi na kujitambulisha yeye mwenzetu ni mwenyeji wa wapi! ...sijui katokea Manure huyu, au bwawa la maini!?
Lakini, kwa jinsi alivyovyamia jamvini usiku usiku, anaonyesha katokea kwa Mabundi - kule Darajani japo 'kajivisha scarf' ya Manure.

Anatuingizia vumbi tu na matope humu, hajui wenzake wanavua kwanza viatu pale mlangoni!
Mimi simjibu mpaka ajitambulishe bana.
 
Hivi ile timu mliyocheza nayo jana inaitwajetena,ha ha? nilijua mngeifunga,lol..kweli mpira hautabiriki, siyo mbaya mmetoka droo!!
 
Gutierez naona unachunguliaaa kwa mbali mkuu, usiogope toe maoni yako au kama huna toa pongezi ndio mpira huo.
Hahahaha hapana nawapongeza mmecheza mpira mzuri arsenal sina budi kusema hilo,na pili Barca ndio chama langu lakini tumekubali matokeo tunawasubiri nou camp ila siwezi kutabiri lolote laweza kutokea lakini nawapeni pongezi sana,maana imenikumbusha nyimbo ya utotoni ya mende kaangusha kabati lol
 
Van Persie and Koscielny out of Stoke game


By Richard Clarke

Robin van Persie and Laurent Koscielny will miss the crucial Premier League game with Stoke on Wednesday night.

The Dutch striker has a hamstring problem while the French defender is suffering from a back complaint. However both injuries are short-term and the pair may recover in time for the Carling Cup Final on Sunday.


I hope watarudi mapema kabla nuksi azijaanza.
 
Van Persie and Koscielny out of Stoke game


By Richard Clarke

Robin van Persie and Laurent Koscielny will miss the crucial Premier League game with Stoke on Wednesday night.

The Dutch striker has a hamstring problem while the French defender is suffering from a back complaint. However both injuries are short-term and the pair may recover in time for the Carling Cup Final on Sunday.


I hope watarudi mapema kabla nuksi azijaanza.


Poleni sana, van Pussy yuko kwenye form nzuri atakuwa pengo kesho.
 
habar zenyu wanajanja wange mambo vpiiii! THE GUNNERSS kama kawa leo 2namsogelea M2 UNITED leo 2namtia STOKE MJI 3 bila baba yake ninamsimamisha emirate kama kawaaaa
 
Poleni sana, van Pussy yuko kwenye form nzuri atakuwa pengo kesho.

hawezi kuwa pengo kwa game kama ya Stoke City........We still have enough options up front.....NB and MC can still play his role....Beside the guy is not our top scorer though he will soon be........Dont worry...just wt n c.....
 
Must win game leo wakuu, kila la kheri, list imetoka. Arsenal: Szczesny, Sagna, Squillaci, Djourou, Clichy, Fabregas, Song, Wilshere, Walcott, Bendtner, Nasri. Subs: Almunia, Rosicky, Denilson, Arshavin, Eboue, Gibbs, Chamakh
 
Arsenal: Szczesny, Sagna, Squillaci, Djourou, Clichy, Fabregas, Song, Wilshere, Walcott, Bendtner, Nasri. Subs: Almunia, Rosicky, Denilson, Arshavin, Eboue, Gibbs, Chamakh.
Stoke: Begovic, Wilson, Shawcross, Huth, Pugh, Pennant, Whitehead, Delap, Whelan, Walters, Carew. Subs: Sorensen, Higginbotham, Collins, Jones, Fuller, Diao, Wilkinson.
Referee: Peter Walton (Northamptonshire)
 
Heshima kwako Arsene Wenger!!! naona tuko wawili tu hapa leo??:A S 13:
 
The throw man Delap is playing as usual....Hope AW amefanyia kazi throw za huyu jamaa.....we at home sidhani kama wamemuandalia Taulo lake kwa ajili ya kufutia mpira kabla hajarusha zaidi hata ya Kona......Its very interesting game.....

Mungu ijaalie Arsenal....Mungu ijaalie furaha yangu.....Ameen....
 
Arsenal boss Arsene Wenger on the meaning of his side's clash with Stoke: "This is a very important one for us. The best way to win the Premier League is to win the game. It is only that which is important. If you want to keep in touch with Manchester United, which we want more than anything, this game is vital. We have given so much in the Premier League, we have gone through so many difficult periods and have come back with such resilience." BBC
 
Heshima kwako Arsene Wenger!!! naona tuko wawili tu hapa leo??:A S 13:

Questt yupo nae. Leo jukwaa nakuachia wewe na quest, jumatano kama kawaida ratiba inaingiliana lol. Kuna kadarasa kameingilia ratiba ya mechi za jumatano sina jinsi lol.
 
...ddaaaaahhh!,
Mixed emotions,....sijui niangalie game ya Arsenal, au Manure?
Nahisi kama Manure watapigwa kata funua leo...anyway...

Pamoja we stand!
 
Questt yupo nae. Leo jukwaa nakuachia wewe na quest, jumatano kama kawaida ratiba inaingiliana lol. Kuna kadarasa kameingilia ratiba ya mechi za jumatano sina jinsi lol.

Haina Nouma man....we kakamue kwa uwezo kaka.....Sisi tutaliendeleza jukwaa kama kawa.....Siku zote Shule kwanza kaka...So happy to c u gat priorities....All the best in ur studies bro.....
 
Back
Top Bottom