Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa mchezaji mmoja mmoja Arsenal haistahili kuwa nje ya top 10 je tatizo ni nini ?tatizo ni Kocha hana vision na kaishiwa mbinu mfano wa timu kama West ham Leicester Everton zinagombania top 4 sisi tumekwama wapi?naona board sababu ya ubahili inataka kuendelea na Arteta but I am telling you EPL ya sasa sio ya mwaka 80
I agree with you!

Board imetoa hela ya usajili. Tutabisha weee but huo ndio ukweli.

Tumemsajili William Saliba for a lot of money, je tunataka kuilaumu board??
 
ANGALIENI WENZENU WENYE AKILI KUBWA
20210411_202631.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Blades walicheza 3 5 2 ila Arsenal imepata goli tatu, mechi iliyopita dhidi ya Slavia Arsenal ilikosa chances nyingi za kuscore. Auba na Pepe wakaleta tofauti walipoingia sub waliokuepo hawakua na uhusiano mzuri na nyavu ama hilo au ni kwamba Blades wana defense ya kiwango cha chini ukiwalinganisha na Slavia.

Game ya jana ushindi ilikua ni kama unacheza PlayStation FIFA/ PES ilikua ni L1+X+∆ na []+R2.

Jana Xhaka kachezeshwa LB Ceballos kakaa namba ya Xhaka surprisingly kila mmoja kacheza vizuri. Nilivyoona Xhaka na Chambers wameanza kama fullbacks niliona ni mpango wa Arteta kuwalinda Cedric na Bellerin kwa ajili ya game ya Alhamis.

Now Xhaka defended but he wasn't good in attacking this means Cedric ni ataanza tu hiyo Alhamis as hiyo siku kinachohitajika ni ushindi. Same kwa Chambers, so as good as Dani performed tusishangae akala mkeka au la akawekwa kama AM nafasi ambayo aliwekwa siku fulani hivi na hakuperform ipasavyo.

Arteta ana wakati mgumu, anahitaji ushindi Europa na EPL na ana majeruhi ila akipanga kikosi haonyeshi hivyo. Tuone Alhamis itakuaje.
 
Asernal sikuwaamini, niliuza huu mkeka gemu yenu ilipokuwa half time.

Nili bet spur man u ikiwa half time..
Screenshot_20210412-183238.jpeg
 
wanangu wa Arsenal..here we go..next, second leg Slavia vs us..Europa tunaihitaji mno....#coyg
 
Backbone ya timu ni viungo, Xhaka nadhani atarudi kwenye nafasi yake. Partey is a good player lakini ana udhaifu wa kukosa concentration, anapoteza pasi. Mchezo wa kesho kitu cha kwanza ni kupata away goal bila kuruhusu wao kugusa nyavu zetu. Tukifungwa nita-ilaani sana timu, Juzi ndio nimeunga Startimes nikijua Europa ndio size yetu this and next year. Tukifungwa itabidi niigawe hiyo Startimes kwa mtu.
 
INJURY UPDATE
Saka and Smith Rowe are available for selection tomorrow. Arteta kasema kwenye interview leo asubuhi
 
Back
Top Bottom