Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Duh!Interview ilikua hesabu.
Ilikua ni kumjudge samaki kwa uwezo wa kupanda mti.
Pole mkuu. When the time is right I will contact you.
Duh!Interview ilikua hesabu.
Ilikua ni kumjudge samaki kwa uwezo wa kupanda mti.
Sisi tunawaza UEFA tu kwa sasa. Hiyo jana tulitaka kujua kama tukifungwa itakuwajesasa wewe una maajabu gani? Usajili mil 400 huku goal scorer joginho na goli zake 5 ahaaah!
Jana umevunjwa 5, sisi tulikupiga 3, hizo nguvu unatoa wapi?


West brom kakupa gundu,ngoja uone Porto atachokufanyaSisi tunawaza UEFA tu kwa sasa. Hiyo jana tulitaka kujua kama tukifungwa itakuwaje![]()
Porto atakalishwa nje ndani bao za kutosha.West brom kakupa gundu,ngoja uone Porto atachokufanya
Much appreciated chiefDuh!
Pole mkuu. When the time is right I will contact you.
Emi Martinez aliyeuzwa Villa angekuwa golikipa bora sn kama angebaki Arsenal as No 1.
Waswahili wanasema "Usitukane mbachao kwa msala upitao"
Mikel Arteta has now lost 17 matches as Arsenal manager after 50 games.
Unai Emeri lost 13 matches after 50 games.| @Goal233
Porto 00 vs Chelsea 2.West brom kakupa gundu,ngoja uone Porto atachokufanya


Mfano tukichukua Europa league kisha tukiingia champions league kwa timu yetu si utakuwa ni aibu ya 2022?ni heri tutolewe tuepukane na aibu na preshaArsenal inaanza mechi huku haionyeshi kama imekuja kushinda, siyo kwa Liva na City tu ni kwa kila anayekutana naye. Tumeona kwa Rapid Wien, Westham na mwisho kabisa ni kwa Liva.
Kwa Arsenal ya sasa kuscore ni ubovu wa mpinzani, Arsenal haiwezi kumfanya mpinzani wake alazimike kufanya makosa, alazimike kua mbovu.
Msimu unaanza Leeds anafungwa 4 - 3 na Liva muda wote Leeds alikua kaonyesha kafuata ushindi. First leg ya sisi na Liva nikasema tunahitaji ile spirit tu ya kuweza kuchukua ugomvi na kuupeleka mlangoni kwao hii second leg ikaonyesha tu kwamba kocha anafeli katika kuilisha timu winning mentality.
Now a good thing kwa msimu huu ni kwamba Arsenal hajafungwa na timu yoyote ambayo inamalizikiwa na 'United' na Slavia ile Prague maana yake ni 'United' so natarajia kuvuka hii robo.
Slavia wamelaaniwa na hiyo Prague huku lawama za ubaguzi wa rangi kwa Glen Kamara zikiwasindikiza.
Pamoja na yote haitoshi kutuhakikishia kushinda. Winning mentality na kuanza mechi zetu with front feet is key for now.
Huyo mchezaji ana uraia wa wapi Mbona kina l KiswahiliAbdallah Sima lazima awatie ukuni
Huyo mchezaji ana uraia wa wapi Mbona kina l Kiswahili