Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Hii timu ni takataka
Tulikotolewa Europa ndio tumekwisha, sababu mwakani hatutakuwa na mashindano ya UlayaKwa mpira tuliocheza leo ni kama mtanzania kuwa ndoto ya kudate na Rihanna kama kuna mtu bado anaamini Arteta ni mtu sahihi kwa Arsenal basi atakuwa ana upungufu wa akili I am sorry to say this
Cha corona au ukimwi?Mkuu hatuna kocha na timu hatuna ni kikundi cha wahuni tu. Hivi kweli Arteta kila leo anasema improvements ndio hizo kweli? Ceballos, auba, lacazette, pepe, hawa ni Wachezaji kweli hawa? Aaaaagh Arteta ni kirusi
Huku Tz siku hizi 1GB inafika mpaka 3000.Kaka nataka nikae kwa kutulia. Castr Atatuongozea jukwaa kwa sasa na atatupa chambuzi zote tunazozihitaji.
Sisi wengine tunaweza kuonekana tuko biased
Nakuambia! Vituko tu, aisee 🤔Ndio kusema lawama zote kwa kufungwa Jana ziende kwa Wenger?






But bro, juzi nlikuona umekwenda for interview somewhere. Mambo yamekwenda poa???Huku Tz siku hizi 1GB inafika mpaka 3000.
Sitarajii makutano kua mengi humu haswa kwa mimi ambaye hiyo 3000 equals to my lunch and dinner.
Uwanja ni wenu.
Ozil na Guendouzi walituchelewesha sana aiseee dah!Nakuambia! Vituko tu, aisee 🤔
Mustafi na Toreirra walikuwa na uwezo mdogo sana. Unaambiwa #TrustTheProcess 😃 | Process ipi?Ozil na Guendouzi walituchelewesha sana aiseee dah!
Interview ilikua hesabu.But bro, juzi nlikuona umekwenda for interview somewhere. Mambo yamekwenda poa???
Hiyo ilikuwa move ya shetani fulani ili watu washindwe ku-access mtandao, lakini aliye juu, The Almighty God akasema hilo haliwezekani.Huku Tz siku hizi 1GB inafika mpaka 3000.
Sitarajii makutano kua mengi humu haswa kwa mimi ambaye hiyo 3000 equals to my lunch and dinner.
Uwanja ni wenu.





sasa wewe una maajabu gani? Usajili mil 400 huku goal scorer joginho na goli zake 5 ahaaah!Kale ka Dully Jr kalikuja kutupigia kelele kule jukwaa la wanaume kumbe katimu kake kabovu![]()