Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

beki zetu kuclear confidently haziwezi so poor
aubameyang zile pesa zimemlevya
ceballos is so poor to wear arsenal jersey
we miss xhaka today
 
SHUKRANI SANA ARSENANE KWA KURUHUSU MAJOGOO KUFANYIA MAZOEZI KWENYE UWANJA WENU
NB; BALL POSSESSION 20/80

20210403_235318.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Poleni kwa kichapo

Arsenal 0-3 Liverpool

 
Cedric kaingia na kaonyesha uhai hata hana dakika 3. Arteta anainyima timu ushindi, Chambers hakua na sababu ya kuanza.
Dah mimi kuanzia leo nimeona nitie shaka juu ya uwezo wake, sijui ni uwoga wa mechi?
 
Castr Will jr ni kweli kabisa Xhaka ndio tatizo katikati, wachezaji wengine wanaperfom vizuri tu. Asipokuwepo Xhaka wachezaji hawacheleweshi mpira, hawatulizi mara tatu na kutoa wakiwa wamekabwa tayari.

Naungana na nyie kwa asilimia zote ni wakati wa release/kumtema Xhaka sioni hata timu ya kununua. Hii defeat ni uwezo wake mdogo bora angeanza Partey ambaye hacheleweshi mpira na Elneny.
 
Castr Will jr ni kweli kabisa Xhaka ndio tatizo katikati, wachezaji wengine wanaperfom vizuri tu. Asipokuwepo Xhaka wachezaji hawacheleweshi mpira, hawatulizi mara tatu na kutoa wakiwa wamekabwa tayari.

Naungana na nyie kwa asilimia zote ni wakati wa release/kumtema Xhaka sioni hata timu ya kununua. Hii defeat ni uwezo wake mdogo bora angeanza Partey ambaye hacheleweshi mpira na Elneny.
 
Castr Will jr ni kweli kabisa Xhaka ndio tatizo katikati, wachezaji wengine wanaperfom vizuri tu. Asipokuwepo Xhaka wachezaji hawacheleweshi mpira, hawatulizi mara tatu na kutoa wakiwa wamekabwa tayari.

Naungana na nyie kwa asilimia zote ni wakati wa release/kumtema Xhaka sioni hata timu ya kununua. Hii defeat ni uwezo wake mdogo bora angeanza Partey ambaye hacheleweshi mpira na Elneny.
Ni mchezaji ambaye hata benchi hayupo. Kwa Arsenal yetu sioni akikosa namba iwe jua iwe mvua.
 
Castr Will jr ni kweli kabisa Xhaka ndio tatizo katikati, wachezaji wengine wanaperfom vizuri tu. Asipokuwepo Xhaka wachezaji hawacheleweshi mpira, hawatulizi mara tatu na kutoa wakiwa wamekabwa tayari.

Naungana na nyie kwa asilimia zote ni wakati wa release/kumtema Xhaka sioni hata timu ya kununua. Hii defeat ni uwezo wake mdogo bora angeanza Partey ambaye hacheleweshi mpira na Elneny.
Ndio kusema lawama zote kwa kufungwa Jana ziende kwa Wenger?
 
Eti DullyJr si umeona alivyokuwa unarudisha mipira nyuma, anachelewesha pasi, mzito na alikuwa 'amekatika' katika kiungo, anatoa mpira akiwa amekabwa au anampatia aliyekabwa tayari si umeona? Hafai ni wakati wa kumcheza Partey na Elneny au Ceballos tukisubiri kusajili Bissouma.
Hahahahahahaahahah

Hatari sana kaka
 
Back
Top Bottom