Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

First Half tumecheza ushuzi mtupu,Arsenal kuja kuwa team kubwa itachukua 20 years kwa kiwango chetu cha takribani 5 years in row na ningekuwa ni mmoja wa menejimenti ya Arsenal ningependekeza Tierney auzwe licha ni mchezaji mzuri sababu hajawahi kucheza mechi 5 mfululizo za EPL bila kwenda hospital
 
Hapa najiuliza Kwanini paka muda huu hatujafungwa??
Ilibidi tuwe tumeshawekwa 2
 
so far timu haina uhai ila kuna watu wakiendelea kupoteza mipira kama Ceballos,Pepe ila kwenye kujilinda tumejitahidi ila hii match tusipoteze point maana livekuku wamepania hii game
 
Screenshot_20210403-232326_All%20Goals.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mauaji yanaendelea huku, Salah kawa Miquison🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Tunataka kombe la europa seriously?? je huko champions league tunaenda kushindania nini kwa timu hii yenye laana?usiku mwema wadau
 
Back
Top Bottom