So Xhaka na Elneny wakalale mbele?Arteta kwenye pre-season angejaribu combination ya Guendouz/Torreira, Partey na Creative mid mmoja iwe Odegaad au Aouor(kama watasajiliwa) anaweza kupata something different.
So Xhaka na Elneny wakalale mbele?Arteta kwenye pre-season angejaribu combination ya Guendouz/Torreira, Partey na Creative mid mmoja iwe Odegaad au Aouor(kama watasajiliwa) anaweza kupata something different.
Xhaka is not good enough kwa level tunayotaka ku-Compete, ndio maana wanamtaka Bissouma acheze nyuma ya Partey, kwangu naona Guendouz apewe second chance, timu imeanza kubalance afu Matteo ni talented ujue ana kitu mguuniSo Xhaka na Elneny wakalale mbele?
Unamkataa Xhaka kwa ajili ya Bissouma?Xhaka is not good enough kwa level tunayotaka ku-Compete, ndio maana wanamtaka Bissouma acheze nyuma ya Partey, kwangu naona Guendouz apewe second chance, timu imeanza kubalance afu Matteo ni talented ujue ana kitu mguuni
Guendouz ni promising, umri bado unaruhusu hajafika peak, Xhaka ni average ni wale wachezaji anaperform game moja game ijayo anazingua, ni km Ramsey kipindi hajafika 27.Unamkataa Xhaka kwa ajili ya Bissouma?
Guendouz naamini siyo mbaya. Ila hana spid, stamina wala skills kama ana viwili kati ya hivyo basi anafaa sana tu.
Pamoja na mapungufu yake, lakini xhaka ni muhimu sana katika kikosi!.. Huyo haendi kokote!.. Hao uliowataja waletwe tujenge timu ila xhaka abaki! Huyu amekuwa anatusaidia sana zile nyakati za taabu.Xhaka is not good enough kwa level tunayotaka ku-Compete, ndio maana wanamtaka Bissouma acheze nyuma ya Partey, kwangu naona Guendouz apewe second chance, timu imeanza kubalance afu Matteo ni talented ujue ana kitu mguuni
Yeye abaki, lakini kama Bissouma anakuja huyu hawezi kuanza First team, Emery aliwahi kusema alimtaka Fabinho akamchelewa, sasa imagine kungekuwa na Fabinho pamoja na Thomas hapo kati, Xhaka angeanzia wapi ?Pamoja na mapungufu yake, lakini xhaka ni muhimu sana katika kikosi!.. Huyo haendi kokote!.. Hao uliowataja waletwe tujenge timu ila xhaka abaki! Huyu amekuwa anatusaidia sana zile nyakati za taabu.
Huyu xhaka ni kweli hana kiwango kikubwa sana ila tusubiri mpaka tupate mtu wa maana wa kucheza nafasi yake.. Yaani eti mpaka leo ameshindikana kupatikana mtu wa kumuweka benchi xhaka. Tukipata wachezaji wazuri ataomba yeye mwenyewe kuondoka kwa sababu ya kukosa namba.. Kiulweli mimi sioni kama Bissouma anaweza ana uwezo wa kumkarisha benchi xhaka..Yeye abaki, lakini kama Bissouma anakuja huyu hawezi kuanza First team, Emery aliwahi kusema alimtaka Fabinho akamchelewa, sasa imagine kungekuwa na Fabinho pamoja na Thomas hapo kati, Xhaka angeanzia wapi ?
wachezaji wengine ni vile tu hatuna wachezaji wazuri ndio maana wanaanza first team.
kimoja cha nguruweLeo mpange wenyewe mnataka kufugwa goli ngapi