batmanwafez
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 882
- 1,361
Naona wachezaji wanakosa kujiamini na hawako mchezoni kabisaa. Ni wachache sana wanaojiamini....napenda sana spirit ya Tierney huyu ni mpambanaji haswa na siku moja natamani awe team captain.Wazee mimi labda sijui football lakini nimeshindwa kuelewa kwanini tunakaa nyuma kuzuia timu kama Westham, olimpiacos, na Spurs ambazo hazina tendency nzuri ya umiliki wa mpira mithili ya Man city.
Mfano Game ya leo dk 15 za kuwaruhusu West ham wacheze kuliko sisi zilibadilisha kila kitu,Tumepoteza points nyingi sababu ya uzembe wala sio uwezo.
Ila Auba akikabwa anapotea kabisa uwanjani tofauti kabisa na Lacca huyu yeye atapigana na hakubali kizembe.
Martin Odegard ni pure talent isingekuwa huyu, tungefungwa natamani aendelee kuwepo inaonekana ana mengi mno bado hatujayaona.
Nilifurahi walivyomtoa Xhaka maana alikua anachelewesha mipira.


