johrobby
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,066
- 2,252
ichi kikund chenu cha wavuta bang kwakwely kinatia hurumaSasa itakuaje kama siyo hivyo? Kisu kishagusa mfupa

ichi kikund chenu cha wavuta bang kwakwely kinatia hurumaSasa itakuaje kama siyo hivyo? Kisu kishagusa mfupa

Tulia wewe nenda kawaangalie unitedichi kikund chenu cha wavuta bang kwakwely kinatia huruma![]()
utopoloPepe amepata chansi mbili zote kaleta ujinga.
Kama Chambers kazalisha magoli 2 na hana speed wala haoverlap Cedric angefanyaje?
Auba hana desire, Saka finishing skills hakuna. Partey bado hana uwezo wa long range shooting.
Timu nzima shaghala baghala.
Tulia kinaboutopolo
Mkiwa mnapata matokeo kama haya au kutobolewa. Jukwaa la chelsea litakuwa Chungu kwenu.Tulia kinabo
Tulia wewe mmalawi, vibonde vyetu chelsea na united tutaviingilia iwe jua iwe mvuaMkiwa mnapata matokeo kama haya au kutobolewa. Jukwaa la chelsea litakuwa Chungu kwenu.
Na hiyo ndo dawa yenu.
Pambana maana unakaribia kutolewa top 10.Tulia wewe mmalawi, vibonde vyetu chelsea na united tutaviingilia iwe jua iwe mvua
Hebu kawaangalie united kwanzaPambana maana unakaribia kutolewa top 10.


Watu wanamaliza pakti na bado umebong'oa unasubiri wachane nyingine.SASA MTAFUKUZA ARTETA PEKE YAKE AU AONDOKE NA GENGE LAKE, PEPE, SAKA, AUBE, PARTEY et al.
pambaf sana..View attachment 1731027
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Cha ajabu dogo ataachwa arudi Real afu tutaletewa mchezaji wa hovyo hadi kuchukia unashindwaHii game imetuonyesha uwezo wa kipekee wa Martin Odegard....
Dah itauma sana ikiwa hivyo, msimu ujao tuwarudishie ceballos wao...huku tunamnunua martin...nimeona thamani yake haizidi 50mCha ajabu dogo ataachwa arudi Real afu tutaletewa mchezaji wa hovyo hadi kuchukia unashindwa
Ila Pepe ni tatizo wazee, yaani hata kushuti tu hawezi,ni mara mia Wilfred Zaha angesajiliwa, Raul alipiga hela ndefu kwa huyu mtu
Hahahaha ile pakiti ya pili imekuja kuishia kwaoWatu wanamaliza pakti na bado umebong'oa unasubiri wachane nyingine.
Acha umalaya





Pepe tumepigwa pale mkuuIla Pepe ni tatizo wazee, yaani hata kushuti tu hawezi,ni mara mia Wilfred Zaha angesajiliwa, Raul alipiga hela ndefu kwa huyu mtu
Angalau si tumelipiza ngoma draw