Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dah kiukwel kam ni shabik wa arsenal unawez ulie kabsa. Mnashinda game moja znazofuta tatu kipigo. Oya wanangu wa The Gunners huu msimu tu skip mech zilizobak mpak Next season. Na hii game ya leo tu Quit iwe 3 bilaa
Hahaha ni noma. Kwani mara ngapi tumetakiwa kushinda lakini kocha anashindwa iongoza timu? Mara mtu atajifunga, mara red yaani unaona kama vile anakusudia.

Hii game tunahitaji ushindi ila timu inacheza kama inaongoza, nikaambiwa hiki ndiyo kiwango kinachotakiwa.
 
Ila nataka niwaambie ndugu zangu vibonde wetu wataendelea kukaa tu bila kujali tupo katika hali gani.
 
Yaani kwa msimu huu mkweo akitaka akunyime mke ni akuambie tu mahari yako ni Arsenal kushinda games tatu mfululizo mzee itabidi ujue kuchagua sabuni.
 
Yaani kwa msimu huu mkweo akitaka akunyime mke ni akuambie tu mahari yako ni Arsenal kushinda games tatu mfululizo mzee itabidi ujue kuchagua sabuni.
kocha ni Mbahatishaji na next season tukienda na Arteta I swear top 10 kwetu itakuwa ni kubeba kombe
 
Game na West ham ni tough kweli,timu za kutumia nguvu zikicheza na Arsenal huwa tunapata tabu sana,Ngoja tuone yanaweza kutokea km ya Leicester city tukawapasua kirahisi tu
Mmeshawapasua ngapi? Pakiti ya kwanza ya condom imeisha watoto wanadai nyingine.
 
Back
Top Bottom