Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa sasa Arsenal inajipanga vizuri msimu ujao itawasha moto kwa sasa tunapigania kuingia tano borA katika ligi.
 
Kwa sasa Arsenal inajipanga vizuri msimu ujao itawasha moto kwa sasa tunapigania kuingia tano borA katika ligi.
Kwa mpira huu tunaocheza sidhani kama huo msimu ujao tutakuwa bora zaidi.

Arteta anawang'ang'ania wakina Auba na willian...yani mchezaji anang'ara mechi hii, mechi inayofuata anatepeta kama mlenda.

Kocha anashindwa kumpa nafasi Martinelli, huyu dogo kweli ana kiu ya kucheza ila kocha tu haoni hicho....yani kwa style hii sioni tukiingia hata top 5. Auba anakosa one-on-one yani yeye na kipa.

Hii mechi dhidi ya west ham Auba akae benchi waanze wakina Martineli, Martin, Lacca....
 
Wewe umeshapandisha?
Unauliza jibu? Nafasi niliyokuwepo Jan unaweza linganisha na sasa? Dec na Jan ilikua kila mtu anajipigia tu ndio maana nakambiaje ngoja tukutane ndio utaelewa tofauti ya high profile team na mid table team. Hakuna rangi mtaacha ona ni bakora tu
 
Unauliza jibu? Nafasi niliyokuwepo Jan unaweza linganisha na sasa? Dec na Jan ilikua kila mtu anajipigia tu ndio maana nakambiaje ngoja tukutane ndio utaelewa tofauti ya high profile team na mid table team. Hakuna rangi mtaacha ona ni bakora tu
Lampard hakuwahi tumia 3 4 3 muda wote ambao timu ilikua inaonekana kwenda kombo, same players wameingizwa kwenye 3 4 3 wanaonekana wanacheza kama kikosi na wanaelewana.

Isipokua Werner na Havertz bado wako down.

Lakini chelsea hata wakati huo inaonekana miyeyusho ilikua same team ambayo Havertz hawezi toa assisst na Werner hawezi kuscore na ilikua inapiga pasi inapandisha timu inakaba vizuri.
So hizi pasi zilikuepo tangu mwanzo kilichoongezeka ni hayo magoli.

Tukumbuke kipindi Lampard anaanza ilikua chelsea akishinda ni 3 kupanda siku hizi mtashinda 1 au 2 nafikiri tangu tom aje hamjawahi shinda zaidi ya goli 2 (sipo sure)

Point yangu ni kwamba chelsea ni ile ile, hii morali iliyopo ni ya ujio wa kocha mpya, tumeona hiyo morali west brom, united, spurs, madrid, psg n.k. mkifikia kwenye transition period mkaanza lose game left, right and center ndiyo utaelewa zaidi.

Msimu huu utalose kwa Arsenal tena (hii ni lazima), na kaombe stori ya Porto kwa Juve.
 
Kwa mpira huu tunaocheza sidhani kama huo msimu ujao tutakuwa bora zaidi.

Arteta anawang'ang'ania wakina Auba na willian...yani mchezaji anang'ara mechi hii, mechi inayofuata anatepeta kama mlenda.

Kocha anashindwa kumpa nafasi Martinelli, huyu dogo kweli ana kiu ya kucheza ila kocha tu haoni hicho....yani kwa style hii sioni tukiingia hata top 5. Auba anakosa one-on-one yani yeye na kipa.

Hii mechi dhidi ya west ham Auba akae benchi waanze wakina Martineli, Martin, Lacca....
Msimu ukianza timu inakua kwenye mashindano zaidi ya 4 yaani inakua iwe isiwe kila mchezaji mwenye juhudi atapata namba.

Martinell na Tierney tulianza kuwajua Europa chini ya Emery.

Ila Arsenal haina michuano mingi ipo Europa na ligi nafasi ya 10.

Yaani ni kwamba tunahitaji kutoka nafasi ya 10 ama la tuchukue Europa ili tufuzu msimu ujao kwenda michuano ya ulaya. Hivyo tunahitaji ushindi kotekote, Martinell ametoka majeruhi, amekuta timu ndiyo ipo kwenye hizo sehemu mbili.

Namba anayocheza Martinell, Auba na Pepe huicheza hivyo inakua ngumu kuanza kumuingiza kwenye kikosi nyakati ambazo timu ipo kwenye critical condition kocha anajikuta anawaamini waliokuepo (ni tabia mbaya na imetufikisha hapa) na aliyetoka majeruhi anaachwa kwanza.

Kuhusu Willian kila siku nasema ni stats zinambeba huyu jamaa. Mfano Odegaard mimi nilifikiri atapokezana namba na Emile lakini stats za Odegaard za pressing ni kubwa kuliko mchezaji yeyote wa Arsenal hapo hapo Emile ana stats zinazoonyesha uwepo wake una output kubwa kuliko Odegaard (uwepo tu siyo kupasi, ni kuepo tu uwanjani) so kama utazingatia takwimu unajikuta inabidi uwape namba wote. Sasa Willian takwimu zinaonyesha ndiye mchezaji mwenye workrate kubwa kuliko wote wa Arsenal.

Yaani anaweza akaingi sub ukamuona anaruka ruka na kupiga back pass na kuhivi au vile ukija kwenye takwimu ni amepiga kazi kuliko aliyempokea namba na wachezaji saba walioanza tangu dakika ya kwanza.
 
Leo Arsenal inacheza na West Ham pia leo Villa anacheza na spurs, mechi yetu ni muhimu zaidi ila pia hata mechi ya villa na spurs ina umuhimu wake.

Villa na spurs wapo juu yetu. spurs ana points 45, Villa 41 na Arsenal 41. Arsenal ikishinda itakua na points 44 na kwenda nafasi ya 9, Villa akishinda Arsenal anarudi nafasi ya 10. Spurs akishinda anazidi kuongeza gape la points kati yake na Arsenal.

So kiukweli ukweli kabisa kama tukiongelea msimamo ni bora villa na spurs wakatoka suluhu, hii itatuweka kwenye nafasi ya kuweza kuescape hako kaeneo in near future.

Lakini Arsenal imekua na ujinga wa kwamba ikifikia mechi ambayo inahitaji ushindi basi kuna mjinga atajifunga au mwingine atatafuta red kinguvu. Once ilikua tunahitaji ushind wa games 3 tuingie top four shukrani kwa Luiz, Pepe na Xhaka leo tuko hapa kuombea dua wengine wafeli.

Pathetic.
 
Baada ya hii mechi na Westham kutakua na mapumziko na next match itakua dhidi ya Liverpool 4/4/2021. Ila nahisi (sina uhakika) hii mechi inaweza ikaahirishwa.

6/4/2021 liva anakutana na madrid kwaajili ya uefa kama atacheza mechi ya 4/4/2021 maana yake atapumzika tarehe 5 kisha tarehe 6 anaruka na Madrid.

Arsenal baada ya game ya tarehe 4 ataingia uwanjani tarehe 8 kucheza na Slavia Praha, safari hii hatuanzi ugenini. Also mashabiki wa Arsenal wa ulaya wamesema game na Slavia ni ugomvi tumeununua kutoka kwa Rangers kutokana na mchezaji wa Slavia kumfanyia ubaguzi wa rangi Glen Kamara ambaye amewahi kuichezea Arsenal.

Kwa Arsenal ni ratiba fair kwa liva sipo sure.
 
West ham ameifunga Leeds, Villa na spurs. Tangu msimu uanze Moyes amekua akiswitch formation kutegemea na timu anayokutana nayo.

Anatumia 5 4 1, anatumia 3 4 2 1, anatumia 3 1 4 2 akiwa ana lengo la kukaba na akiona anacheza na timu ambayo inamzidi quality. Game iliyopita kapoteza kwa United kwa goli la kujifunga tho forward yake itakua na tatizo ukizingatia hawakusecure hata shot on target.

Moyes akiamini hii timu anaiweza hua anatumia 4 2 3 1 kwa alipo anahitaji hata suluhu tu hivyo naona Arsenal itacheza na timu iliyorelax tho Jesse anahesabiwa kama washed up ila bado ni deadly.

Tuna majeruhi Saka na Willian, hivyo Pepe na Emile ni mitano tena na Dani kashaonyesha AM hapawezi hivyo Odegaard mitano tena, mid yetu itabaki ya Xhaka na Partey, Tierney labda aumwe au Arteta aone anatakiwa kupumzika ila kule namba 3 ni yeye.

Bellerin anatuchosha recently. Ingekua poa Cedric angekuepo as Cedric anaoverlap vizuri na kumpa nafasi Pepe ya kucut in. St angekua Lacazette.

Westham wataamua kukaba tutahitaji long range shot takers hapo ndiyo inatupasa tuwe na Lacazette, Odegaard, Emile na Pepe.

Ingawa ningekua na mamlaka hayo, RW angekua Odegaard, AM angekua Emile, LW angekua Auba na ST angekua Lacazette.

Namba 2 Cedric, 3 Tierney, CB Luiz na Gabriel. Mid Xhaka na Partey halafu dakika ya 60 Xhaka anampisha Elneny. Dakika 10 mbele Emile anampisha Pepe na Lacazette anampisha Martinell.
 
Yves Bissouma
🇲🇱
agent confirmed the #Arsenal interest in his player earlier this month with boss Mikel Arteta keen to pair him up at the Emirates with Thomas Partey
🇬🇭
. However Brendan Rodger's Leicester are ready to rival Arsenal’s interest in the Mali midfielder.
Bissouma was a boyhood Arsenal fan as well, meaning a move to north London appeals.
But manager Brendan Rodgers is hoping the potential carrot of Champions League football will give him the edge as the player makes a decision on the next step in his career. [ @mirrorfootball ]
May be an image of 1 person and text

https://web.facebook.com/stories/28...VftnVvpaLgiUTGZjFBl2kvtXiQgA&[B]tn[/B]=<<,P-R
 
Baada ya hii mechi na Westham kutakua na mapumziko na next match itakua dhidi ya Liverpool 4/4/2021. Ila nahisi (sina uhakika) hii mechi inaweza ikaahirishwa.

6/4/2021 liva anakutana na madrid kwaajili ya uefa kama atacheza mechi ya 4/4/2021 maana yake atapumzika tarehe 5 kisha tarehe 6 anaruka na Madrid.

Arsenal baada ya game ya tarehe 4 ataingia uwanjani tarehe 8 kucheza na Slavia Praha, safari hii hatuanzi ugenini. Also mashabiki wa Arsenal wa ulaya wamesema game na Slavia ni ugomvi tumeununua kutoka kwa Rangers kutokana na mchezaji wa Slavia kumfanyia ubaguzi wa rangi Glen Kamara ambaye amewahi kuichezea Arsenal.

Kwa Arsenal ni ratiba fair kwa liva sipo sure.
Arsenal vs Liverpool itachezwa April 3
 
Yves Bissouma
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fz-p3-static.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft36%2F1.5%2F16%2F1f1f2_1f1f1.png&hash=ac3b255af3d42cf2af0568d53b5861bb" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
agent confirmed the #Arsenal interest in his player earlier this month with boss Mikel Arteta keen to pair him up at the Emirates with Thomas Partey
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fz-p3-static.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ftdc%2F1.5%2F16%2F1f1ec_1f1ed.png&hash=ffdc041dc8c4b36489800a26c5487288" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
. However Brendan Rodger's Leicester are ready to rival Arsenal’s interest in the Mali midfielder.
Bissouma was a boyhood Arsenal fan as well, meaning a move to north London appeals.
But manager Brendan Rodgers is hoping the potential carrot of Champions League football will give him the edge as the player makes a decision on the next step in his career. [ @mirrorfootball ]
May be an image of 1 person and text

https://web.facebook.com/stories/28...VftnVvpaLgiUTGZjFBl2kvtXiQgA&[B]tn[/B]=<<,P-R
Kumbe Bissouma ni shabiki wa Arsenal! huwezi amini jinsi alivyotucheka kipindi cha Unai, ilikuwa game ya mwisho tumedraw na Brighton, tulikuwa tunahitaji ushindi tu ili kufuzu UEFA
 
Game na West ham ni tough kweli,timu za kutumia nguvu zikicheza na Arsenal huwa tunapata tabu sana,Ngoja tuone yanaweza kutokea km ya Leicester city tukawapasua kirahisi tu
 
Lineup imetoka
1Leno
21Chambers
23David Luiz
22Marí
3Tierney
18Partey
34Xhaka
7Saka
11Ødegaard
14Aubameyang
9Lacazette

Substitutes
6Gabriel
8Ceballos
16Holding
17Cédric Soares
19Pépé
25Elneny
32Smith Rowe
33Ryan
35Martinelli
Referee:
Jonathan Moss
 
Hiki kikosi huyu Chambers wa nini kama tunataka kushambulia?
 
Natamani cku zote center backs wacheze Gabriel & pablo Mari. Dah hawa watu wanahitaj mda mwingi wa kucheza ili tuwez kuwa na Solid defence. Luiz umri umeend akiktan na foward wenye kasi ni rahis sana kusababish Penat.
Tierny sina shaka nae ame prove uwezo uwezo wake lakn Chamber????.
Ngoja tuone Arteta ametuandalia Suprize Gani leoo!!
 
Back
Top Bottom