Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya ndiyo ninayoyasema.

Unahitaji ushindi.

Unamuacha Cedric nje unamuweka Chambers unaacha watu ambao for sure watastabilize timu.

Mbona yanafanywa mambo kua magumu?
 
Hii move chambers kaachwa nyuma kabisa ikabidi Luiz asogee, imetoka pasi Jesse kascore.

Chambers ni CB hana speed ya kukimbizana na mawinga mbona hii ni akili ya kawaida?
 
Mbahatishaji Arteta ,Arsenal haitakuja kupata mafaniko chini ya Arteta Naapa,tutakuwa tunashinda mechi 2 inayofuata inafungwa bila kubadili Kocha Arsenal haitapata mafanikio

Arsenal ya sasa unakuwa haujui matokeo yatakuwaje ni ujinga ujinga tu
 
HII INAITWA MAMA MKANYE MWANAO...
Screenshot_20210321-181843_All%20Goals.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mbahatishaji Arteta ,Arsenal haitakuja kupata mafaniko chini ya Arteta Naapa,tutakuwa tunashinda mechi 2 inayofuata inafungwa bila kubadili Kocha Arsenal haitapata mafanikio

Arsenal ya sasa unakuwa haujui matokeo yatakuwaje ni ujinga ujinga tu
Mkuu acha uongo..ni lini mlishinda 2 mkapoteza 1. Statistics zinaonesha mnashinda 1 mnapoteza 2.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Lingard muhuni sana wakati matakataka yanashangaa yeye anatoa assist kisha Bowen anaweka kambani.

Always LONDON is BLUEE ama nasema uongo ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom