Ile timu dhaifu inaongoza ligi huko kwao.Nyie kobe jana mume gongwa bao moja la nguruwe na timu dhaifu kabisa kutoka ugiriki, sema muna zali tuko msibani, ila habari zenu tunazo.
Safari yenu ya kuja Europa tunaijua ilianzia wapi.
Ile timu dhaifu inaongoza ligi huko kwao.Nyie kobe jana mume gongwa bao moja la nguruwe na timu dhaifu kabisa kutoka ugiriki, sema muna zali tuko msibani, ila habari zenu tunazo.
sizitaki mbichi, Mreno anasema analenga UEFAWatani wetu wa jadi Mbeya City Spurs I hali mbaya.
Huyo jamaa ni mashabiki wa Manchester united, aliamua kuhama (kwa kujilazimisha) kwa mahaba aliyo nayo kwa Morinho.Watani wetu wa jadi Mbeya City Spurs I hali mbaya.
Kweli?Huyo jamaa ni mashabiki wa Manchester united, aliamua kuhama (kwa kujilazimisha) kwa mahaba aliyo nayo kwa Morinho.
Kawaambiasizitaki mbichi, Mreno anasema analenga UEFA
Sasa ligi ya Ugiriki si ata Simba anaweza shiriki na kuchukua kabisa!Ile timu dhaifu inaongoza ligi huko kwao.
Safari yenu ya kuja Europa tunaijua ilianzia wapi.
Kaa hapa imba lakini ungepangwa naye wewe tukuone. Beki magwaya? Striker greenwood?Sasa ligi ya Ugiriki si ata Simba anaweza shiriki na kuchukua kabisa!
Ugiriki ni moja kati ya ligi nyepesi ulaya, ndio maana wanaingiza timu moja tu UCL.
Kuifunga timu ya Ugiriki ni sawa na kuingia wodi ya wagonjwa mahututi na kuwapiga wote alafu unatoka nje unajisifu umepigana na watu wengi na kuwashinda.
Sisi tumewafunga timu bora kutoka ligi bora ya ItalyKaa hapa imba lakini ungepangwa naye wewe tukuone. Beki magwaya? Striker greenwood?
Mara ya mwisho Milan kua bora lini?Sisi tumewafunga timu bora kutoka ligi bora ya Italy
AC Milan sio poa wapo bizuri msimu huu, tatizo wamekutana na wabishi kufungwa ugenini.





Wakati ni mudaTANGAZO:
kuanzia leo 19/03/2021 Nyie matakataka arse8 hatutaki kuwaona kwenye uzi wetu kule ..nyie siyo level zetu tena...timu zinazocheza UEFA Championship na zilizopo kwanzia nafasi ya sita kwenda juu ndo zinahitajika Kule ili kuleta hoja za maana. Hivyo hamupaswi kukanyaga pande zile tena
Tangazo hili limetolewa na Katibu muhtasi ndugu Ollachuga Oc.
#CFC![]()