Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie kobe jana mume gongwa bao moja la nguruwe na timu dhaifu kabisa kutoka ugiriki, sema muna zali tuko msibani, ila habari zenu tunazo.
Ile timu dhaifu inaongoza ligi huko kwao.

Safari yenu ya kuja Europa tunaijua ilianzia wapi.
 
IMG_20210319_121943.jpg
 
sizitaki mbichi, Mreno anasema analenga UEFA
Kawaambia

'Kama walidhani mechi hii siyo muhimu nataka wajue kwamba hii mechi kwangu ni muhimu, mchezaji ambaye ameona hii mechi haina maana hastahili kua hapa'
 
Ile timu dhaifu inaongoza ligi huko kwao.

Safari yenu ya kuja Europa tunaijua ilianzia wapi.
Sasa ligi ya Ugiriki si ata Simba anaweza shiriki na kuchukua kabisa!

Ugiriki ni moja kati ya ligi nyepesi ulaya, ndio maana wanaingiza timu moja tu UCL.

Kuifunga timu ya Ugiriki ni sawa na kuingia wodi ya wagonjwa mahututi na kuwapiga wote alafu unatoka nje unajisifu umepigana na watu wengi na kuwashinda.
 
Kuna taka taka moja ilikua inajiita Dully jr hivi inatumia Id gani kwa sasa?

Imepotea sana.
 
Sasa ligi ya Ugiriki si ata Simba anaweza shiriki na kuchukua kabisa!

Ugiriki ni moja kati ya ligi nyepesi ulaya, ndio maana wanaingiza timu moja tu UCL.

Kuifunga timu ya Ugiriki ni sawa na kuingia wodi ya wagonjwa mahututi na kuwapiga wote alafu unatoka nje unajisifu umepigana na watu wengi na kuwashinda.
Kaa hapa imba lakini ungepangwa naye wewe tukuone. Beki magwaya? Striker greenwood?
 
Kaa hapa imba lakini ungepangwa naye wewe tukuone. Beki magwaya? Striker greenwood?
Sisi tumewafunga timu bora kutoka ligi bora ya Italy

AC Milan sio poa wapo bizuri msimu huu, tatizo wamekutana na wabishi kufungwa ugenini.
 
Sisi tumewafunga timu bora kutoka ligi bora ya Italy

AC Milan sio poa wapo bizuri msimu huu, tatizo wamekutana na wabishi kufungwa ugenini.
Mara ya mwisho Milan kua bora lini?

Wametoka kupigwa na Napoli. Napoli ya msimu huu na yenyewe tia maji tia maji Europa ilijitokea mapema tu.

Msimu huu kuoteana na kuwahiana kwingi. Spurs wanaelewa hilo, wewe utalielewa hilo soon na Ole kashachukua mkataba mpya mtafurahi.
 
Arsenal will play Dinamo Zagreb or Unai Emery's Villarreal in semi-finals if they beat Slavia Prague.
 
TANGAZO:

kuanzia leo 19/03/2021 Nyie matakataka arse8 hatutaki kuwaona kwenye uzi wetu kule ..nyie siyo level zetu tena...timu zinazocheza UEFA Championship na zilizopo kwanzia nafasi ya sita kwenda juu ndo zinahitajika Kule ili kuleta hoja za maana. Hivyo hamupaswi kukanyaga pande zile tena

Tangazo hili limetolewa na Katibu muhtasi ndugu Ollachuga Oc.

#CFC
 
TANGAZO:

kuanzia leo 19/03/2021 Nyie matakataka arse8 hatutaki kuwaona kwenye uzi wetu kule ..nyie siyo level zetu tena...timu zinazocheza UEFA Championship na zilizopo kwanzia nafasi ya sita kwenda juu ndo zinahitajika Kule ili kuleta hoja za maana. Hivyo hamupaswi kukanyaga pande zile tena

Tangazo hili limetolewa na Katibu muhtasi ndugu Ollachuga Oc.

#CFC
Wakati ni muda
 
Back
Top Bottom