Angalia uko unaweza kumpiga ATL nje ndani wewewewe akili zako si nzima, umeshasahau KICHAPO cha bao 3






UEFA inakuja uko ..wewe tulia hivyo hivyo.Sasa Europa nani wakutufunga? naungana naye Europa inakuja Emirates, hatulali njaa mzee kama nyie



Hilo kombe la mbuzi hata hivyo ni uduwanzi tu wa Lampard.Unamkumbuka vzr alichowafanyaView attachment 1725401






Hahaha uyo Mou tumemkalisha nje ndani bado wewe takataka.Huu mpira anaopigiwa spurs, Chelsea anakufa 3 kipindi cha kwanza 3 kipindi cha pili



Nyie mbuzi tu mlishindwaje kuwalamba hawa wakiwa wa London? Enewei ngoja tuwaoneshe kwamba LONDON IS BLUEWamerudisha buana. Ngoja kipindi cha pili tuwatafute tena.



Sasa wasogee wapi tena mkuu ..hiyo nafasi ya Europa atachukua liverpool hawa wabaki uko uko hakuna nafasi huku juu.Jitahidini musogee angalau nafasi ya 6 wenda kukashiriki Futuhi mwakani.



Me naona ni afadhali ødegaard kulko ceballosRipoti zinasema Odegaard amewaagiza maagent wake waongee na Madrid ili kutafuta uwezekano wa kubaki Arsenal kwa uhamisho wa kudumu.
Mchezaji yeyote anaenjoy appreciation na game time. Alex Song hakuona hili akakimbilia Barcelona akasahaulika, meanwhile Ceballos alishasema anarudi Madrid kugombea namba.
Tuangalie hii muvi.
Ngoja tuone Madrid wataamua nini kuhusu Ceballos na Odegaard msimu ujao!!Me naona ni afadhali ødegaard kulko ceballos
kumbe we jamaa ni kisanduTunacheza upuuzi
Hujui?kumbe we jamaa ni kisandu
Kivipihii ni id yako nyingine