Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chelsea jana kambana Atletico.

Katika games zetu zilizobakia niliihofia Chelsea lakini Tony Adams alimuambia Arteta, achana na 3 4 3 ni formation ya muda mfupi. Tuchel alijaribu 4 2 3 1 timu ikawa hoi.

Nadiriki kusema Chelsea anakufa tena. Tatu zingine.
 
Ripoti zinasema Odegaard amewaagiza maagent wake waongee na Madrid ili kutafuta uwezekano wa kubaki Arsenal kwa uhamisho wa kudumu.

Mchezaji yeyote anaenjoy appreciation na game time. Alex Song hakuona hili akakimbilia Barcelona akasahaulika, meanwhile Ceballos alishasema anarudi Madrid kugombea namba.

Tuangalie hii muvi.
 
Ripoti zinasema Odegaard amewaagiza maagent wake waongee na Madrid ili kutafuta uwezekano wa kubaki Arsenal kwa uhamisho wa kudumu.

Mchezaji yeyote anaenjoy appreciation na game time. Alex Song hakuona hili akakimbilia Barcelona akasahaulika, meanwhile Ceballos alishasema anarudi Madrid kugombea namba.

Tuangalie hii muvi.
Me naona ni afadhali ødegaard kulko ceballos
 
Lineups already out, I expect tough game today, najua Olympiakos watashambulia mwanzo mwisho, Scoring before they do, will kill their morale
 
Kikosi cha leo kinaashiria kulinda wachezaji as tuna critical need ya local success
IMG_20210318_202316.jpg
 
Back
Top Bottom