Ulisema Xhaka best yako.Calum Chambers anaweza kucheza CB, RB na DF. Amewahi kucheza in reality akiwa Southampton na Arsenal.
Wenger era alicheza sana nafasi hizo tatu CB, RB na DF (CB alicheza na Koscielny, Mertesacker, Gabriel Paulista.)
RB amecheza sana kipindi tukiwa na majeruhi na katika kumbukumbu goli lake la kwanza na la pili aliyafunga akiwa amepangwa RB.
DF alicheza kipindi Santi, Coquelin, Wishere na Ramsey ameumia mara nyingi alikuwa akisimama na Flamini.
cc. Castr
Mwambie anavyotufanyia siyo fair. True alitumia weaker foot lakini siyo excuse kwa anachotupitisha.



