Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal wameripoti kupata hasara ya £ 47.8m kwa mwaka wa fedha, 2019-2020 [@ kayakaynak97]
Uchanganuo wa fedha
Klabu ilitumia kiasi cha £10m kwa ajili ya kumlipa Unai kufukuzwa na kuajiriwa kwa meneja wa sasa Arteta
🎯
kukatwa kwa mishahara kwa wachezaji ilipatikana kiasi cha £19m ambacho kiliingizwa kwenye bajeti moja kwa moja
🎯
klabu ilipata kiasi cha £60.1m kutokana na mauzo ya wachezaji waliouzwa na kutumia kiasi cha £182.2m kununua wachezaji wapya katika msimu huo wa 2019/2020
🎯
maamuzi yote haya yalifanywa na KSE pamoja na mwenye hisa Stan Kroenke
We are good than most financially.
 
Saa tisa na nusu tutakua nyumbani kwa Burnley tukijaribu kutetea kusonga mbele kwetu, kwenye karatasi na takwimu siyo game rahisi kwa Arsenal ya sasa.

Burnley wanacheza 4 4 2 hii formation ilitumiwa na Southampton kututoa nje ya FA, next game kwenye ligi tulishinda ila sikumbuki kama tulipata clean sheet.

Ninachokumbuka ni kwamba kwa msimu huu imekua ngumu kwetu kupata clean sheet kila tukicheza na timu inayotumia 4 4 2. Burnley hwana kikosi kile kile cha game iliyopita ambayo tulishuhudia Leicester akisakamwa kulia, kushoto na katikati.

Vardy ni scorer ila timu ikiwa in trouble Vardy hana kingine cha kuofa so siku ile alionekana anakimbia tu bila lengo same na siku tunawafunga 3 kwa moja.

Kwa taarifa ya muda huu inawezekana Emile akawepo au asiwepo kutokana na majeraha ya game iliyopita. Zaidi ya huyo kuna kipa Runar ambaye majeruhi yake hayaumizi kichwa as kuna Ryan tayari.

Tukishinda hii game tunaenda kua nafasi ya tisa na kumsubiri Villa apoteze game ili asitutoe hapo kisha tutakua na kazi dhidi ya Spurs ili kugombea kwenda nafasi ya nane. So hii game ya leo ni muhimu kama next game dhidi ya Olympiacos hivyo nataraji Arteta atataka kumaliza biashara mapema hivyo sitarajii kuona baadhi ya wachezaji wakiwa nje kwa kulenga kuwalinda na majeraha.

Tukutane baadaye.
 
Mara ya kwanza kukutana na Burnley ilikua 2008 katika Carabao wakatupiga 2 bila. Baada ya hapo ikawa kila tukikutana nao ni kuwapiga au suluhu mpaka first leg ya msimu huu ndiyo Burnley wakachomoka na ushindi wa 1 bila.

Hii second leg ni ya kulipa kisasi pia namna pekee watashinda ni kama tutapata red kama game iliyopita waliyopata ushindi.
 
Lineup sio mbaya ingawaje, sijakiona kiwango cha Chambers siku za karibuni
Ingekua kwenye game mashambulizi unakua unayapitisha kwa Chambers kwakua naturally Chambers ni CB na CB hua hawana speed just nguvu na uwezo wa standing tackles.

Hata hivyo simuoni Cedric kwenye sub wala kwenye majeruhi ana shida binafsi?
 
Arteta said he used Willian instead of Pépé against Benfica because of ability in small spaces, lack of space to run into behind.
 
Martin Ødegaard on Arsenal:


“The club is in a process now where things have changed a little bit, but what I’ve seen & experienced here makes me sure the club will be back at the top very soon.” #
 
Ingekua kwenye game mashambulizi unakua unayapitisha kwa Chambers kwakua naturally Chambers ni CB na CB hua hawana speed just nguvu na uwezo wa standing tackles.

Hata hivyo simuoni Cedric kwenye sub wala kwenye majeruhi ana shida binafsi?

Wanasema jamaa ame improve in many areas on the field
 
Wanasema jamaa ame improve in many areas on the field
Calum Chambers anaweza kucheza CB, RB na DF. Amewahi kucheza in reality akiwa Southampton na Arsenal.

Wenger era alicheza sana nafasi hizo tatu CB, RB na DF (CB alicheza na Koscielny, Mertesacker, Gabriel Paulista.)

RB amecheza sana kipindi tukiwa na majeruhi na katika kumbukumbu goli lake la kwanza na la pili aliyafunga akiwa amepangwa RB.

DF alicheza kipindi Santi, Coquelin, Wishere na Ramsey ameumia mara nyingi alikuwa akisimama na Flamini.

cc. Castr
 
Wanasema jamaa ame improve in many areas on the field
Mzee hicho nilichoandika haimaanishi ni uchochoro. Hata katika game CB kumpita ni kwa one two, thru balls, na opponent mwenye speed na skills.
 
Calum Chambers anaweza kucheza CB, RB na DF. Amewahi kucheza in reality akiwa Southampton na Arsenal.

Wenger era alicheza sana nafasi hizo tatu CB, RB na DF (CB alicheza na Koscielny, Mertesacker, Gabriel Paulista.)

RB amecheza sana kipindi tukiwa na majeruhi na katika kumbukumbu goli lake la kwanza na la pili aliyafunga akiwa amepangwa RB.

DF alicheza kipindi Santi, Coquelin, Wishere na Ramsey ameumia mara nyingi alikuwa akisimama na Flamini.

cc. Castr

Hilo nalijua, nilichotaka kuzungumzia ni improvement..
 
Back
Top Bottom