isajorsergioThen akiondolewa kikosini utasikia, "Ni operation ya kuondoa watu wa imani fulani".
isajorsergioThen akiondolewa kikosini utasikia, "Ni operation ya kuondoa watu wa imani fulani".
Katika soka nafasi ya goalkeeper ni very stubborn, huwezi kuwa na makipa wenye uwezo unao shabihiana unless mmoja awe very young with the promise to succeed the number 1 choice in the future.Arsenal tulifanya kosa kubwa kumuuza Goalkeeper Martinez
Hakuna tatizo. NimekuCC ili uone hayo maoni kwamba mchezaji hua dropped kutokana na kiwango na siyo dini kama ulivyowahi kusema.
Kwahiyo kwa maoni yako ilikuwa ni kosa kumuanzisha chambers (kubadilisha timu ya ushindi dhidi ya Leicester) jana??Msimu huu Serge Gnabry amekua na kiwango kidogo tofauti na msimu uliopita ukiangalia kwa ukaribu utagundua majeruhi yaliyomkumba Davies yanachangia.
Swali linakuja ni vipi mgonjwa awe mwingine kisha kiwango kishuke cha mwingine.
Davies akiwa anacheza hua anapandisha mashambulizi na anaoverlap runs as in beki atamuona Gnabry anakuja na mpira lakini nyuma ya Gnabry anakuja Davies kwa speed akitanua kumpa Gnabry option ya kupasi.
Kama hauelewi angalia goli la tatu la Pepe dhidi ya Leicester. Pepe anakuja lakini Cedric anatanua kumpa option Pepe
Hii humfanya beki asijue amkabe nani , mostly beki huamua kukaba move kwa kumkimbilia anayeoverlap hence mwenye mpira (Gnabry/ Pepe) anakua na nafasi ya kushuti.
Jana RB alikua Chambers. Hamfikii Hector wala Cedric katika hizi overlap runs. Now utaelewa kwanini jana Saka alionekana miyeyusho, hapati mipira mara kwa mara na akipata ana rundo la mabeki wa kuwapita huku option pekee ikiwa Odegaard minus fullback anayeoverlap.
Pengine Arteta akaona Pepe itamfaa hiyo nafasi as ana skills, but si ni hua nasema games za wapaki basi inabidi wawekwe wanaojua kushoot from the start? Hence Pepe, Dani na Laca.
Nop hilo ni jibu kwa yeyote ambaye anaona Saka aliunderperform.Kwahiyo kwa maoni yako ilikuwa ni kosa kumuanzisha chambers (kubadilisha timu ya ushindi dhidi ya Leicester) jana??
Huwa unanchekesha sana





Tuko pamoja mkuu 😀😀Very disturbing, kushabikia Yanga na Arsenal, inahitaji moyo wa kipekee. Weekend yangu imekuwa ya emotions
Mzee mwenzanguWakuu mfano nipo Administration block ya UDSM napita wapi kwenda Law School?
Ni nimewahi kufika mpaka hapo Admin.. Block ila sijui Law School ilipo.Mzee mwenzangu
Mfano upo au upo hapo/unaelekea huko unataka kufahamishwa..
Au swali hili ni chanzo cha swali linalofata au maelezo unayotaka kutoa!?
Ulipoweka neno mfano kwangu ikaleta ukakasi kidogo.Ni nimewahi kufika mpaka hapo Admin.. Block ila sijui Law School ilipo.
Hivyo nataka kujua nikiwa pale Admin Block nitafikaje Law School.
ShukraniUlipoweka neno mfano kwangu ikaleta ukakasi kidogo.
Ngoja waje wanaopajua zaidi watakusaidia albabu..
Nenda mpaka mawasiliano tower ukiumaliza ukuta wa hilo jengo kuna kibao kimeandikwa law school hapo ifuate hiyo barabara ndogo ya lami itakufikisha getiniNi nimewahi kufika mpaka hapo Admin.. Block ila sijui Law School ilipo.
Hivyo nataka kujua nikiwa pale Admin Block nitafikaje Law School.