ShukraniNenda mpaka mawasiliano tower ukiumaliza ukuta wa hilo jengo kuna kibao kimeandikwa law school hapo ifuate hiyo barabara ndogo ya lami itakufikisha getini
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
ShukraniNenda mpaka mawasiliano tower ukiumaliza ukuta wa hilo jengo kuna kibao kimeandikwa law school hapo ifuate hiyo barabara ndogo ya lami itakufikisha getini
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Hesabu zinatugomea kuingia hata top 6.
Kuna uwezekano tukapoteza nafasi ya kushiriki Uefa. Nafasi tuliyonayo ni ya kutwaa Europa nje ya hapo itakua ni kujipanga kwa ajili ya msimu wa 22/23.
Kwa kikosi tulichonacho na marefa waliopo ni ngumu kua na taswira ya mia kwa mia kwamba tutavuka huu mtihani.
Ni disappointment kiukweli ila tunahitajika kusapoti timu bila kujali ilipo. This is family na hatusaliti familia, hatuside na yeyote who is against the family.
Hesabu zinatugomea kuingia hata top 6.
Kuna uwezekano tukapoteza nafasi ya kushiriki Uefa. Nafasi tuliyonayo ni ya kutwaa Europa nje ya hapo itakua ni kujipanga kwa ajili ya msimu wa 22/23.
Kwa kikosi tulichonacho na marefa waliopo ni ngumu kua na taswira ya mia kwa mia kwamba tutavuka huu mtihani.
Ni disappointment kiukweli ila tunahitajika kusapoti timu bila kujali ilipo. This is family na hatusaliti familia, hatuside na yeyote who is against the family.
Hahaha nisiwajibie. WatakujaPambeneni top ten na Liverpool msiogope.
Ivi rafiki yangu Aaroon na Will Jr wapo kweli ?🤪🤪
huyu jamaa anakimbia hatariAccording
@mcgrathmike
Arsenal and Chelsea are in a race to sign Ashraf Hakimi, who is unstable with Inter Milan, especially since the club is suffering from financial hardship. Arsenal sees him as a replacement for Hector Bellerin, who may leave in the summer.
watu kama hao kuwajibu utapoteza carrolies zako, Anavyosema Arteta hana kikos cha kwanza... ni dhahiri haifatilii arsenal , watu kama hao nakumbana nao vibanda umiza na fb,Kuna Arsenal mwenzangu ananiambia Arteta hafai Arsenal.
Nikamuambia game na Burnley Saka kakosa chances 2, Pepe 1, tumenyimwa penati mara mbili. Goli ni uzembe wa Xhaka hilo linakuaje kosa la Arteta.
Akasema kwahiyo unamuamini Arteta? Ila yeye hamuamini kwa kipindi chote atachokuepo pale.
Nikamjibu rais mpya wa Barcelona aliahidi kumsajili Arteta kama atashinda urais.
Akatuma VN kuniambia hilo haliwezekani waspanish wanabebana yaani kaongea hivyo ili Arsenal ipate ubaridi kumtimua.
Akaendelea kwa kusema timu yetu hadi leo haina first eleven watu wanabadilika kila mechi.
Nikamjibu hiyo inatokana na back to back games inakua no way out inabidi urotate kikosi. Wengi wamemkatia tamaa Arteta? As in hauoni improvement kabisa?
Hii timu beki yake iliyokua nyanya msimu uliopita sasa hivi ndiyo miongoni mwa beki ngumu, msimu huu na ugumu wote ST wetu ana goli 14.
Msimu huu tusitarajie makubwa. Msimu ujao tumdai.
View attachment 1720732
na ni suitable kwenye 3-4-3, baryen walikataa kumsajiri wakisema kwenye back 4 ni mweupe,huyu jamaa anakimbia hatari