Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hesabu zinatugomea kuingia hata top 6.

Kuna uwezekano tukapoteza nafasi ya kushiriki Uefa. Nafasi tuliyonayo ni ya kutwaa Europa nje ya hapo itakua ni kujipanga kwa ajili ya msimu wa 22/23.

Kwa kikosi tulichonacho na marefa waliopo ni ngumu kua na taswira ya mia kwa mia kwamba tutavuka huu mtihani.

Ni disappointment kiukweli ila tunahitajika kusapoti timu bila kujali ilipo. This is family na hatusaliti familia, hatuside na yeyote who is against the family.

Mkuu mbona hawa marefa ni muda tu. Au ameanza kazi leo?
 
Hesabu zinatugomea kuingia hata top 6.

Kuna uwezekano tukapoteza nafasi ya kushiriki Uefa. Nafasi tuliyonayo ni ya kutwaa Europa nje ya hapo itakua ni kujipanga kwa ajili ya msimu wa 22/23.

Kwa kikosi tulichonacho na marefa waliopo ni ngumu kua na taswira ya mia kwa mia kwamba tutavuka huu mtihani.

Ni disappointment kiukweli ila tunahitajika kusapoti timu bila kujali ilipo. This is family na hatusaliti familia, hatuside na yeyote who is against the family.

Pambeneni top ten na Liverpool msiogope.


Ivi rafiki yangu Aaroon na Will Jr wapo kweli ?🤪🤪
 
IMG_20210308_094506.jpg
 
Tutacheza na Olympiacos Alhamis.

Tutaenda kuanza ugenini, most matches naona tunaanza ugenini it's weird kiukweli ila ndiyo ishakua.

Msimu uliopita dhidi ya Olympiacos tulianza ugenini pia tukashinda moja bila assisst ilitoka kwa Saka na scorer akiwa Lacazette. Second leg tukafungwa 2 kwa 1 kwa uzembe wa Luiz, that defeat meant tunaaga mashindano kutokana na away goals rule.

Katika hiyo game tuliyoshinda moja bila Sokratis alikaa beki wa kulia, kiungo mshambuliaji alikua Willock, RW alikua Auba na beki wa kushoto alikua Saka.

Kuna watu hua wanamfananisha Saka na Greenwood wa united hua nacheka tu.

Anyway, Willock alicheza mpaka dakika ya 75 akiwa na overall workrate ya 6.3 aliyechukua nafasi yake alikua Pepe, kwa dakika 25 zilizobakia Pepe alipata overall workrate ya 6.6.

Unabaki unashangaa kocha aliwaza nini? Unamchaguaje Willock over Pepe? Hapa saa hii nashangaa same, Cedric siyo mgonjwa ila akamuweka benchi Bellerin na kumpa namba Chambers ambaye ni CB.

Hiyo game ya Olympiacos ambayo Sokratis alikaa RB Sokratis alikua na stats mbovu vile vile.

Huu mtindo wa kubadilisha badilisha timu unatetewa kwamba ni kwavile tuna games back to back. Wenzetu hawana games back to back au siyo?

So baada ya Alhamis tuna Spurs, kisha Olympiacos tena halafu Westham kisha Liva.

Mambo ni moto.
 
Kuna Arsenal mwenzangu ananiambia Arteta hafai Arsenal.

Nikamuambia game na Burnley Saka kakosa chances 2, Pepe 1, tumenyimwa penati mara mbili. Goli ni uzembe wa Xhaka hilo linakuaje kosa la Arteta.

Akasema kwahiyo unamuamini Arteta? Ila yeye hamuamini kwa kipindi chote atachokuepo pale.

Nikamjibu rais mpya wa Barcelona aliahidi kumsajili Arteta kama atashinda urais.

Akatuma VN kuniambia hilo haliwezekani waspanish wanabebana yaani kaongea hivyo ili Arsenal ipate ubaridi kumtimua.

Akaendelea kwa kusema timu yetu hadi leo haina first eleven watu wanabadilika kila mechi.

Nikamjibu hiyo inatokana na back to back games inakua no way out inabidi urotate kikosi. Wengi wamemkatia tamaa Arteta? As in hauoni improvement kabisa?

Hii timu beki yake iliyokua nyanya msimu uliopita sasa hivi ndiyo miongoni mwa beki ngumu, msimu huu na ugumu wote ST wetu ana goli 14.

Msimu huu tusitarajie makubwa. Msimu ujao tumdai.

Screenshot_2021-03-09-11-08-16-95.jpg
 
Thierry Henry: "I’m an Arsenal fan. So if you’re asking me if one day I’d like to coach Arsenal, then yes. If you ask if one day I’d like to be Arsenal’s kit man, then yes. If you ask if one day I’d like to cut the grass at the Emirates Stadium, then yes.” [
@FourFourTwo
]
 
Thierry Henry: "I’m an Arsenal fan. So if you’re asking me if one day I’d like to coach Arsenal, then yes. If you ask if one day I’d like to be Arsenal’s kit man, then yes. If you ask if one day I’d like to cut the grass at the Emirates Stadium, then yes.” [
@FourFourTwo
]
 
According
@mcgrathmike
Arsenal and Chelsea are in a race to sign Ashraf Hakimi, who is unstable with Inter Milan, especially since the club is suffering from financial hardship. Arsenal sees him as a replacement for Hector Bellerin, who may leave in the summer.
 
Kuna Arsenal mwenzangu ananiambia Arteta hafai Arsenal.

Nikamuambia game na Burnley Saka kakosa chances 2, Pepe 1, tumenyimwa penati mara mbili. Goli ni uzembe wa Xhaka hilo linakuaje kosa la Arteta.

Akasema kwahiyo unamuamini Arteta? Ila yeye hamuamini kwa kipindi chote atachokuepo pale.

Nikamjibu rais mpya wa Barcelona aliahidi kumsajili Arteta kama atashinda urais.

Akatuma VN kuniambia hilo haliwezekani waspanish wanabebana yaani kaongea hivyo ili Arsenal ipate ubaridi kumtimua.

Akaendelea kwa kusema timu yetu hadi leo haina first eleven watu wanabadilika kila mechi.

Nikamjibu hiyo inatokana na back to back games inakua no way out inabidi urotate kikosi. Wengi wamemkatia tamaa Arteta? As in hauoni improvement kabisa?

Hii timu beki yake iliyokua nyanya msimu uliopita sasa hivi ndiyo miongoni mwa beki ngumu, msimu huu na ugumu wote ST wetu ana goli 14.

Msimu huu tusitarajie makubwa. Msimu ujao tumdai.

View attachment 1720732
watu kama hao kuwajibu utapoteza carrolies zako, Anavyosema Arteta hana kikos cha kwanza... ni dhahiri haifatilii arsenal , watu kama hao nakumbana nao vibanda umiza na fb,

arteta tayari ana mfumo ambao asipocheza Mari atacheza MAGHALHAES, asipocheza saka atacheza pepe, asipocheza ceba, au neny bqsi atacheza partey,

kulikuwa na mech za europa... wachezaji wamesafiri, rotation ilikuwa lazima... kulikuwa na majeruhi pia kuwalinda watu kama partey...,

SHIDA ya hawa wanaosema hivo hawajui hata injury news... nilikumbana na mashabiki wenye hoja hizo hizo , kuwauliza kumbe hawajui kuwa Partey, Kt hawachez sababu ya injury,

Pep mwenyewe kikos chake mwenye uhakika wa namba ni ederson.... siku nyingine waulize kikos cha kwanza ni nini, na timu gani yenye hicho kikos cha kwanza kisichobadilika... then muangalie lineup 3 za nyuma....

arteta angekuwa anabadili mifumo ovyo, au kuchezesha wachezaji out of position , kama unai hakuna angemtetea....

Huu msimu ulikuwa wa kujitafuta, hadi sasa kapata mfumo 4-2-3-1, style of playing, position za wachezaji, mfano imechukua muda mrefu kutambua SAKA ni RW kuliko LM,LB, wu LWB,
 
IWAPO UNAPENDA ARSENALI BASI WEWE NI MWANA SOKA MAAALUM.
ARSENALI NI TIMU AMBAYO INAPENDWAULIMWENGU MZIMA
 
Partey on Xhaka: “He's a fantastic player. He works hard for the club and his teammates when he's on the pitch. In football, you can always have a bad game, that's part of the game. You have to keep fighting for each other. "
 
Back
Top Bottom