There are currently 29 users browsing this thread. (12 members and 17 guests)
Siamini....AW ndo katutoka hivihivi. Kama unachugulia kama Guest fanya kuingia yakhee, hili soka, kuna pen mtapewa dakika za majeruhi.
Mabomu ya Gongo la mboto yamehamia Arsenal ..... Its David Villa.....raha raha raha Bala....upo?
...ha ha ha, football is a beautiful game,....
...ukiwa tayari nitumie details, p & p (packing & postage) zote ni kwa gharama zangu!
Eee bana Mbu mimi nitumie jezi ya Robin van Pussy, nakutumia details zangu kwenye PM. Come on you Fart Arse!![/QUOTE/]
Kwenye bold hapo mkuu una haki ya kumtukana, manake vitu anavyo fanya ukilinganisha na lile galasa lako la Pound Million 50, ni vitu viwili tofauti.
http://www.google.com/imgres?imgurl...a=X&ei=AXtdTdGnFc7pgQfOhdn_DA&ved=0CBoQ9QEwAg
Mkipita nyie; humu ndani patakuwa hapatoshi JF....ni mna kelele nyie sijapata ona.....
Ikipita Barca najua ile ndoo lazima wabebe msimu huu wale wahuni...na mm sitaki hata kuwasikia..
Ata sijui niwe upande gani sasa......
Msaada tutani.
Ofa kama hizi zinatembea kwa PM mkuu..ona sasa nashindwa hata ku-comment. Hufai ww. Lol!...ha ha ha, football is a beautiful game,....
...ukiwa tayari nitumie details, p & p (packing & postage) zote ni kwa gharama zangu!
Eee bana Mbu mimi nitumie jezi ya Robin van Pussy, nakutumia details zangu kwenye PM. Come on you Fart Arse!![/QUOTE/]
Kwenye bold hapo mkuu una haki ya kumtukana, manake vitu anavyo fanya ukilinganisha na lile galasa lako la Pound Million 50, ni vitu viwili tofauti.
http://www.google.com/imgres?imgurl...a=X&ei=AXtdTdGnFc7pgQfOhdn_DA&ved=0CBoQ9QEwAg
Mbona uko sensitive sana inapoongelewa Arsenal mkuu? Sijamtukana, van Pussy ni jina tu kama yalivyokuwa majina mengine ya kina Drog the Bar, Wine Rooney,....the list goes on. Just enjoy a taste of your own medicine.
Mbona uko sensitive sana inapoongelewa Arsenal mkuu? Sijamtukana, van Pussy ni jina tu kama yalivyokuwa majina mengine ya kina Drog the Bar, Wine Rooney,....the list goes on. Just enjoy a taste of your own medicine.
Mwaka huu hatujafungwa na kimburu yoyote yule ... tangu tulipowachabanga pale Emirates umekuwa na Wivu sana stress zitakuua. Fikiria jinsi ya kumfukuza bundi pale kwenye makuti. Chacha lini utakuwepo kwenye cow shed? khe khe kheeeeeeeeeeeee
ina maana niko peke yangu humu ndani? ina maana ulikuwa hujui?
Tukisha wachapa Barca utakuja na hadithi nyingine. What a loser hii yote ni kuwanga na kuhofu kwamba vijana wa Emirates wanapeta. The boys are ready .... .... ..
Yaani mimi nataka timu zote ziwe na wachezaji wake wa kutegemewa ili kusiwe na excuse za kitoto.......mtu akichapwa iwe flat and square walizidiwa maarifa.
Kila la kheri kesho jamani:coffee:
Chacha hiyo J5 tunamchapa Barca chijui utasema nini? BTW J5 itakuwa halftime tu mambo yote ni kule Spain ndio fainali.
Nakualika Emirates J5 uje ona soka linavotandazwa katika wanja la kimataifa sio kile cha kwenu chenye matuta. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Naona umeanza tayari kutafuta sababu kwa kusema J'tano ni halftime tu, hiyo itategemea umekunywa goli ngapi. Nakuonea huruma maana Arsenil ndio timu pekee haijawahi kuitoa Barca among the traditional "big four", na kwa muziki wa Barca wa sasa na hiyo beki yenu ya kuungaunga sijui nini kitatokea!
I can't waste my time coming to Emirates, it's more of the library than a football stadium (been there twice), full of Prawn sandwich brigade Arsenal plastics, zero atmosphere. Ahsante kwa offer, nitaangalia home.
Mwaka huu hatujafungwa na kimburu yoyote yule ... tangu tulipowachabanga pale Emirates umekuwa na Wivu sana stress zitakuua. Fikiria jinsi ya kumfukuza bundi pale kwenye makuti. Chacha lini utakuwepo kwenye cow shed? khe khe kheeeeeeeeeeeee
Sioni uhusiano kati ya swali lilomuuliza AW na jibu lako, naona unavamia mkuki kwa mbele.
There are more important issues in my life than a footy game, I can't see how I'll be stressed? Arsenal ndiyo mna records za kuwa stressed na issue za timu yenu hata wengine kufikia kujiua. I can bet my mortgage you (Wacha) are going to do a Omondi if Arsenal fail to win a single trophy this year cause you sound very depressed.
Peasant Cech mambo ya Emirates vipi unaweza linganisha na cow shed yenu?
Gonga hapa kwa pics zaidi .... https://www.jamiiforums.com/sports-...l-new-era-at-the-emirates-22.html#post1638639
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
Najua kwamba Emirates ni uwanja mzuri, na mpya zaidi katika EPL. Matatizo pekee ya Emirates ni haya:
1. Unamilikiwa na wrong team, uwanja unadeserve vikombe lakini mpaka leo hakuna hata kikombe kimoja, aibu:A S thumbs_down::A S thumbs_down:
2. Washabiki wa Arsenal wameugeuza uwanja library, pathetic:sleepy::sleepy:.
Sioni uhusiano kati ya swali lilomuuliza AW na jibu lako, naona unavamia mkuki kwa mbele.
There are more important issues in my life than a footy game, I can't see how I'll be stressed? Arsenal ndiyo mna records za kuwa stressed na issue za timu yenu hata wengine kufikia kujiua. I can bet my mortgage you (Wacha) are going to do a Omondi if Arsenal fail to win a single trophy this year cause you sound very depressed.
khee ekhe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Mbaazi akikosa maua bana Wacha WIVU! Barca wameharibu wiki yako ulikuwa na matarajio, chacha vipi kesho? Bundi bado yupo darajani?