Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Watu bwana, kabla ya mechi eti mtapigwa 4, baada ya mechi wanageuka, ooh subirini Camp Nou!
Sie tushasahau about Barca for now, tuna-concentrate on FA Cup J'pili, game after game!

Sikujua Barca ina washabiki wengi hivi! Barca kapakatwa Pub, unapata nyama choma, laga, etc.!
 
Jana nimegundua kuwa kuwa kuna baadhi ya watu

  • wanashabikia vilabu fulani fulani ndio maana wanapenda mchezo wa mpira( Chelsea , Man U ,etc
  • Wanapenda mpira ndio maana wanashabikia timu kama arsenal barcelona

Nimeshangaa watu hao hao arsenal huwa ikifungwa na chelsea au Manu japo wanakuwa wamecheza kandanda safi, wametoa passi kibao hawatoi sababu kama walizotoa jana kuwa ohh bahati. ohhhhh

Jamani hata kama tunashabikia timu tuweke mapenzi ya mchezo wa soka mbele na tuwe fair kwenye analysisi zetu.( Ujumbe huu ni wa man u na chelsea)

Hakuna mechi ambazo pass za timu zainazung gumziwa sana.Ni kwa sababu jana zilikuwa zinacheza best passing team. Pundits hawawezi kujiangisha kulinganisha pass completed kati ya barcelona na na Man u Au arsenal na Ac Milan. Yes barca walicomplete pas nyingi lakini umuhimu wa kulinganisha ulikuwepo sababu arsenal nayo ni passing team sio man u wala Chelsea ambao they dont know to entertain.

NB
If u love football then u should like the like to watch arsenal and barcelona not matter wich club u support

But if love football club more than football game then ................
 
Football is not about passing man!!

Football is all about scoring goals and winning trophies no matter how complete passes are there in matches.

It is a pity that the Gooners oooppss the Gunassers satisfy themselves by claiming to be an entertaining team to watch (due to great number of complete passes in their games).
 
...ha ha ha, football is a beautiful game,....



...ukiwa tayari nitumie details, p & p (packing & postage) zote ni kwa gharama zangu!


Eee bana Mbu mimi nitumie jezi ya Robin van Pussy, nakutumia details zangu kwenye PM. Come on you Fart Arse!!
 
Mkipita nyie; humu ndani patakuwa hapatoshi JF....ni mna kelele nyie sijapata ona.....

Ikipita Barca najua ile ndoo lazima wabebe msimu huu wale wahuni...na mm sitaki hata kuwasikia..

Ata sijui niwe upande gani sasa......

Msaada tutani.


Donge hilo linywe basi khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
...ha ha ha, football is a beautiful game,....



...ukiwa tayari nitumie details, p & p (packing & postage) zote ni kwa gharama zangu!
Ofa kama hizi zinatembea kwa PM mkuu..ona sasa nashindwa hata ku-comment. Hufai ww. Lol!
 
 
 
Gutierez naona unachunguliaaa kwa mbali mkuu, usiogope toe maoni yako au kama huna toa pongezi ndio mpira huo.
 
Tukisha wachapa Barca utakuja na hadithi nyingine. What a loser hii yote ni kuwanga na kuhofu kwamba vijana wa Emirates wanapeta. The boys are ready .... .... ..



Naona tangu tuwakung'ute Barca umeadimika khe khe kheeeeeeeeeee



Peasant Cech mambo ya Emirates vipi unaweza linganisha na cow shed yenu?





Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
 
naona mada imebadilika ila hata msemeje ARSENAL NI TIMU YA UKWEL
 
 


Najua kwamba Emirates ni uwanja mzuri, na mpya zaidi katika EPL. Matatizo pekee ya Emirates ni haya:
1. Unamilikiwa na wrong team, uwanja unadeserve vikombe lakini mpaka leo hakuna hata kikombe kimoja, aibu:A S thumbs_down::A S thumbs_down:
2. Washabiki wa Arsenal wameugeuza uwanja library, pathetic:sleepy::sleepy:.
 

Tupe mji basi tuwauzie kwa bei poa? Ili muachane na cow shed yenu tutauhamisha tu unasemaje?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…