Kweli wajomba mechi ya kesho mmeipania kinoma noma....haya bana all the best maana mkiwatoa Barca mnarahisisha njia.Habari njema kwa wakuu wa gunners.
Samir Nasri has been included in the Arsenal squad for Wednesday's UEFA Champions League showdown with Barcelona after returning to training.
Yaani mimi nataka timu zote ziwe na wachezaji wake wa kutegemewa ili kusiwe na excuse za kitoto.......mtu akichapwa iwe flat and square walizidiwa maarifa.
Kila la kheri kesho jamani:coffee:
Habari njema kwa wakuu wa gunners.
Samir Nasri has been included in the Arsenal squad for Wednesday's UEFA Champions League showdown with Barcelona after returning to training.
Arsenal Starting line-up
Barcelona Starting line-up
- W. Szczesny
- E. Eboué
- L. Koscielny
- J. Djourou
- G. Clichy
- C. Fábregas
- A. Song
- J. Wilshere
- T. Walcott
- A. Arshavin
- R. van Persie
Source Arsenal v FC Barcelona | Champions League 2010-2011 - Yahoo Eurosport UK
- Víctor Valdés
- Dani Alves
- G. Piqué
- E. Abidal
- Maxwell
- S. Busquets
- Xavi
- A. Iniesta
- Pedro
- D. Villa
- L. Messi
Hodi humu ndani!
Naulizia tiketi za mechi ya badae, nitapata wapi?
Subiri ufurahie kuangalia KANDANDA leo,sio butua butua ulizoea.Timu 2 zinazocheza mpira wa kuvutia duniani zinakutuna kutumbuiza ulimwengu wa soka.
Kama una mtu unamjua hapendi mpira hii ni nafasi nzuri sana ya kumshawishi ajiunge na ulimwengu wa soka.
Kila nikirudisha kumbukumbu zangu za kihistoria nyuma dhidi ya Barcelona, naona hawa jamaa
wanatutoa kwenye raundi hii na hakuna ubishi. Mfano nimejiuliza-Hivi hata kama tunawafunga goli 1
au 2 au tunawafunga 2 kwa 1, Je tukienda Nou camp tutatoka? Tuache ubishi jamani ukweli ni kwamba
hatuwawezi Barca ng'o!. Maana Barca watakuwa wanajivunia ujuzi wao katika soccer wakati sisi tunaomba
kudra za miujiza kutoka kwa mungu tu. Kusema kweli kila tunapokutana na hawa wadudu huwa nachanga
nyikiwa sana,lakini mwishoni huwa nakubali matokeo kuwa Barca kwa karline hii hatuwawezi. Kwanza nikivuta
hisia za kelele za mashabiki wa Barca kwenye mechi ya marudiano pale kwao ndio kabisaaaaaaaa nakubali kuwa
wametutoa!
Last season mlikutana hakuna cha mpira mzuri ,tulishuhudia timu moja ikizidiwa sana labda tusubiri leo
Last season mlikutana hakuna cha mpira mzuri ,tulishuhudia timu moja ikizidiwa sana labda tusubiri leo
Hivi hizi statistics uwa mnazitoa wapi? Kwa makusudi umeamua kutulisha kasa....kwenye final ya 2009 ball possession ilikuwa barcelona 51% man utd 49%.Umesahau kuwa man u mlipokutana nao mwaka juzi possession ilikuwa 91 kwa 9 ya mau u. Mumshukuru mungu hamjapangwa kukutana na barsa. Kwetu cc poa tu manake umri wa wachezaji uko sawa na mpira unaendana. busara kwa wachezaji na utegemee mprira safi sana. Ni kama fainali hii!