mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,225
Kwaio tukifungwa tena Aaron Arsenal utpotea tena kama kawaida yako
kwan tumeshinda jana tu?nina mwez mzimaa sipo , kwa sababu siwez kuweka haps..Kwaio tukifungwa tena Aaron Arsenal utpotea tena kama kawaida yako
ulitaka nisionekaane? hakunaa wa kunipangiaa ratiba ya kuingiaa humu....toka mechi na leeds , benfica hukuniulizaWee jamaa mkishashinda bdo unaonekana wewe siyo shabiki halisi wa Arse8 wewe ni mamluki
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
asilimia kubwa anauzwahili sioni likitokea. naona bellerin ni kati ya wachezaji anaowataka kwenye project yake.
Basi pamoja sana mkuu, tuzidi kulikimbiza gurudumuKwaio tukifungwa tena Aaron Arsenal utpotea tena kama kawaida yako





ugumu upo kwenye kushinda mechi kadhaa mfululizo. hiki kitu kinatugharimu sana. tumepoteza michezo mingi mno pia na kuna uwezekano wa kupoteza michezo mingine mbeleniHii timu kwa sasa inasuasua bado wachezaji hawajajua mfumo vizuri wa kocha ila msimu ujao tutawasha moto kwa sana!!
Kwa sasa iangalie imalize ligi ndani ya timu tano za mwanzo ili tushiriki michuano ya kimataifa mwakani.
Always Arsenal will go forward!!
This could be avoided if we dont have key players on injury list, something most unlikelyugumu upo kwenye kushinda mechi kadhaa mfululizo. hiki kitu kinatugharimu sana. tumepoteza michezo mingi mno pia na kuna uwezekano wa kupoteza michezo mingine mbeleni
Arteta bado anajifunza, arsenal walikosea sana kumchukua huyo jamaa!Tumebakisha games 12 ili msimu uishe muda huu tupo nafasi ya 10 na points 37 walio juu yetu ni Villa na spurs, wana points 39.
Tukishinda game ya Jmosi tutapanda mpaka nafasi ya 8 kisha tutarudi tena nafasi ya 10. Nasema hivyo kwakua Spurs ana game na Fulham na Palace halafu Villa ana game na Sheffield kisha Wolves. Halafu Arsenal tuna game na Burnley kisha Spurs. (Katikati kuna Olympiacos)
Unaona Spurs au Villa wakipoteza game ipi kati ya mbili zifuatazo? Sisi je?
Unaionaje hiyo nafasi ya 10 inavyotung'ang'ania? Mwezi nyuma hesabu zilikua zinaonyesha tunahitaji kushinda games 3 mfululizo ili kuingia top 4 leo hesabu zinaonyesha inatakiwa ushinde games 3 mfululizo huku ukiombea walio juu yako wapoteze.
Ama la tutumie shortcut ya Europa. Ambayo ni ngumu, last season tulipitia shortcut ya FA ila saa hii hatupo FA so nafasi pekee tuliyonayo ya kuhakikisha tunakuwemo kwenye mashindano ya Ulaya ni ushindi wa bandika bandua kwenye ligi au kombe la Europa.
Sema mwenyewe kipi kinawezekana kati ya hivyo viwili?
Niliwaambia wakimbia uzi waendelee kujificha wasirudi angalau baada ya games 6 ila imezidi kua ishu now kimbieni msirudi hadi msimu uishe.
Kazi kwake Arteta.
Ni kweli anajifunza ila hapa alipofikia tayari Barcelona wanamtaka. Mimi sioni kama Arsenal tulikosea kulingana na project ya timu Arteta alikua mtu sahihi.Arteta bado anajifunza, arsenal walikosea sana kumchukua huyo jamaa!
Noma sana, watu wanakwambia huyu kocha atatupa nini,aisee ni hatari Leicester tulimfunza mpiraWambea hutowaona tena humu
Noma sana, watu wanakwambia huyu kocha atatupa nini,aisee ni hatari Leicester tulimfunza mpira


mnajitekenya wenyew af mnacheka vipigo vnaendelea palepale msijipe moyoRaha mpira ni pamoja na maajabu yaliyomo. Hakuna alietarajia matokeo ya Leicester na Villa hiyo janaKwa walichofanywa Leicester leo naamini ushindi wetu kwa Burnley utakua wa nguvu kidogo.
Leicester katia huruma.
Hata united. Kipindi cha pili united wakaonekana kupoteana.Raha mpira ni pamoja na maajabu yaliyomo. Hakuna alietarajia matokeo ya Leicester na Villa hiyo jana
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Kwa arsenal kitu kinachopungua ni wachezaji kutokujituma lkn wakijituma tu kidogo wanaweza fanya maajabuHata united. Kipindi cha pili united wakaonekana kupoteana.