MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,186
- 5,450
Afadhali mume wa simamisha, maana wanatunyatia sana.Zawadi ya kitoabu hiyo
Funika kombe mwana haram apite.Tutaona tu mkuu. Pale darajani ni machinjio ya nyumbu na mnaenda kupata kipigo tu
Tulivyopigwa moja. Odds zikapanda tukawa tuna 5.50 nikabeti.
Nilijua lazima tutashinda aliyenifelisha Crystal Palace
burnley huyu anayepigwa na vikuku kama watoto wadogo? sisi si tutamuua kabisa huyu?Next game na Burnley kisha Olympiacos.
Tukicheza na watumia 4 4 2 hua wanatusumbua mostly hizi games hatushindi with clean sheet.burnley huyu anayepigwa na vikuku kama watoto wadogo? sisi si tutamuua kabisa huyu?
Ndio umewasha data chief?Hawa Leicester lazima tuwapige leo
Nenda uzi wa chelsea au man u huku kazi ilishaishaHawa Leicester lazima tuwapige leo
Sasa hujui kama nyinyi ni vibonde wetu?Hv nyie kondoo mliifungaje Chelsea.?
Tumeshinda ngapi mkuuNenda uzi wa chelsea au man u huku kazi ilishaisha
3 kwa 1Tumeshinda ngapi mkuu
👏👏👏👏❣️3 kwa 1