mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 638
90 MINUTES DOWN, 90 TO GO IN NOU CAMP!
KWA SASA NI KUSHANGILIA TU, POTELEA MBALI!!!
WACHA1, Upo wapi kakaaaaaa? walikuwa weshakuvisha sanda hawa 'wafuga bundi', wabaya sana watu hawa...
halafu leo nimegundua kuna members wapya waliokuwa wanatupiga madongo, comments zao zipo humu, be ready for retribution guys,...sikujua nyie ni mashabiki wa mpira! ha ha ha!
sasa ni mwendo wa mapicha tu mpaka kieleweke!...
Kwa neema za mwenyezimungu tumeshinda! Furaha ambayo ninayohapa mungu ndiye anajua.
Hakika tulistahili ushingi na leo mungu alikuwa upande wetu. Kama ni kutufunga na kututoa basi
ni bora wakatutolee huko kwao Spain lakini si our home london. Shame on u Barcelona.
Jamani hakuna vitu ninavyovichukia hapa duniani kama Manchester united,Barcelona, na CCM.
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Wanga wakachome tunguli zao. Chama kubwa hili na kwa budget ndogo tu.
hawa mbuzi safari imefikia mwisho kule kwa barca watapigwa saba!
Usikufuru Mungu! uwe na adabu hao barca ni miungu wa soka
<br />hawa mbuzi safari imefikia mwisho kule kwa barca watapigwa saba!
Watani hongereni.
Haya ndugu zangu watani, AW, Mbu, Mbu, Quest, Blntd, Michelle, Kweli, Wacha1 et al.....hongereni kwa ushindi mwembamba. Mnastaili pongeza za dhati kwa kweli.
Alamsiki. :clap2::clap2::clap2: Gunnaz..
Vipi..tuwape Gary Neville anawasaidie?, naona Platoon yte imehamia kwake..Lol!
View attachment 23312
hahahahaha Mbuzi auma mbwa!
Haya mambo yamekuwa mambo hongereni....
RVPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPPP...HOW did he manage that?????????
Hahahahaah! wapi asenooo!
VIVA ARSENAL,VIVA ARSENAL......ooooooooooooo YES WE CAN, haters go hang yourself!!!!
Jamani wote mmepotea, kulikoni. Au mzee wa binduki kachapwa
Mkuu nitakuwa na furaha hawa jamaa wakifungwa zaidi ya moja!
There are currently 29 users browsing this thread. (12 members and 17 guests)
Siamini....AW ndo katutoka hivihivi. Kama unachugulia kama Guest fanya kuingia yakhee, hili soka, kuna pen mtapewa dakika za majeruhi.
Arsenal 1 Barca 0
Umesahau kuwa Arsenal kwenye competition zote wanapewaga penalty wakiwa kwenye dire situations...?
CL last 5 games za Emirata mmeshinda pen. Leo sitoshangaa....
Huyu mganga wa Arsenal mzuri kweli kweli hehehe ball possession 67% to Arsenal's 33% ngoma bado 1 - 0.
sAY IT again babu! 2-0
There are currently 18 users browsing this thread. (8 members and 10 guests)
Wacha1 umesahau PASSWORD?, Mods Plzzzzzz..hepl this Fella...
Half time
Arsenal 1 Barca 0
Aisee Baba Mchungaji achana na huyu mke wa Katekista..iko saidia mm tafuta mtu itwa Wacha1..sijui iko potelea wapi.
Gunners have been awarded a penalty in their last five Champions League matches at home.
MSIJALI..THE GOAL IS COMING..ZILE KHAKI ENVELOPE ZA WACHA1 PROFESA HUWA ANAZITOA, SEMA KATIKA 'MIKATABA' MINGINE...
Hata mkiambulia draw leo, lakini kiama chenu ndio hii round of 16.
Barcelona have completed 170 more passes (328) than Arsenal (158) in the first half.
Ohhh kumbe tatizo sio pitch wala Refa......
nyumba imeuungua...........:clap2:
Masa is watching from the distance......Michelle I am tempted to cheat with you unasemaje?
Nasri anacheza aikaido
Bado tatu jamani endeleeni kuzisubiri!
Mkuu mumeanza kukimbiza mapema ndugu naona goli 3 kwa moja! defense ya barca iko porous mnaweza funga akiingia yule Arshavin
Nina diploma ya mambo fulani.....lets cheat ila usimwambie mtu! Love love you I hate aRSENAL
Messi funga hao wolves
Song anacheza judo!
Wapi AW.......
Wapi Mbu..
Wapi Michelle.....
Wapi Questt..
Wapi Kweli..
Wapi Blntnd...
Kama kawa COWARD Wacha1, Mzee wa fujo kajificha, anasubir dakika 90 za mtanange aje hapa aanze kumwaga upupu wake....Embu toka mafichoni uwe kama wenzako hapo juu, WANAJIAMINI, tunakwenda HEAD to HEAD debate.....
Ooohhh Messi in you we trust!
Karibu sana kama ulivyoona soka lilivyochezwa sio butua butua.
Unafiki mbaya mkuu kuwa sasa ... ..
Hiyo mizoga yenu hatuihitaji khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Vipi Bundi kaondoka kwenye makuti? kwa taarifa yako tu tangu tulipowachabanga pale emirates hatujapoteza nechi yoyote ile sijui unakumbuka ni lini naweza kukusaidia kidogo ilikuwa nwaka jana.
Kama kawa .... .. natumaini ume-enjoy game ingawaje furaha yako imekuwa fupi.
He is a special player ... .... ... on the tightest angle golikipa alitegemea pasi kwenda kwa bendtber it was an absolute craker .... ...
Vipi ulikuwa huwaoni khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
Na bado mwaka huu mambo yanakwenda mswano 2011 vijana wamekangamaa
On your dreams mate .... .....
Kwani si umeona mambo vipi yule Bundi pale darajani ataondoka lini mmalize matanga khe khe kheeeeeeeeeeeee
... .... ...khe khe kheeeeeeeeeeeeeee Manda world . ..... mkuu leo ni halftime tu na bado hujaona kitu subiri Nou Camp ndipo utakapojua Gunners ni kina nani? Khe khe kheeeeeeeeeeee
khe khe kheeeeeeeeeeeee
Umeiona penalty ya RVP khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee aibu kwa shabiki wa manure khe khe kheeeeeeeeeeeee
Mpira magoli kaka khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeechacha katafute starts za mwisho khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
Mkuu mechi kama hizi huwa tuanaangalia Live sio kusimuliwa au kwenye box .... ..... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeee two great teams ambazo zinacheza soka la uhakika huwa hatutaki kumisi kitu khe khe kheeeeeeeeee eee
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
Really pole sana mkuu -- Gunners boys waitakuua mwaka huu kwa pressure. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
Manda chichi huwa hatuna tabia kama hiyo khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
Thanks buddy khe khe kheeeeeeeeeeeeee
Ooohhhhhhyer khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Pale Darajani hizo taarifa kampe Abraham O Vich .... ... khe khe kheeeeeeeeeeeee
Ndio tabia yako ya kimafia mafia khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
Naona hukuona pasi aliyotoa kwa arshavin khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
Kweli ulipatia jumla ya magoli khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Vipi matokeo? Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wolves walikutoa kamasi ndio sababu hutawasahau khe khe kheeeeeeeeeeeee
Baada ya kumuweka sawa Lamps and co lazima umuhare khe khe kheeeeeeeeeeee
Mkuu naona vidonge ambavyo nakupa vinafanya kazi khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
Endelea ku-watrust tu chichi tunaweka magoli khe khe kheeeeeeeeeeeeee
Phew .... ... Thats a lotta bana dawa ninazowapa wanoko zinafanya kazi khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
kama kawa picha zote zipo hapa https://www.jamiiforums.com/sports-...l-new-era-at-the-emirates-22.html#post1631401
ha ha ha, hata kama ...final score inasemaje sasa?
leo "Barca-Matador" kashikwa pabaya bana!
Liverpool ni waume wa Chelsea.....l.o.l.......VIVA ARSENAL,to hell with the gods of soccer!!!!
Wanaume kivipi?yaani wanawafanya nini Chelsea?
what a waste ? a beautiful lady to be on loosers side? Fat arse anal are simply wankers in soccer
Wapi AW.......
Wapi Mbu..
Wapi Michelle.....
Wapi Questt..
Wapi Kweli..
Wapi Blntnd...
Kama kawa COWARD Wacha1, Mzee wa fujo kajificha, anasubir dakika 90 za mtanange aje hapa aanze kumwaga upupu wake....Embu toka mafichoni uwe kama wenzako hapo juu, WANAJIAMINI, tunakwenda HEAD to HEAD debate.....
:coffee:...time for popcorn, huku niki enjoy "kabumbu/soka/ndinga/..." you name it...!
tupo pamoja...!
Ebwana mbn arsenal hamuonani........teh teh.Leo a gun imekuwa a spoon! lol!!Messi was NOT off side! sorry gunners! lucky burgers!!Hata mkiambulia draw leo, lakini kiama chenu ndio hii round of 16.Walcott is letting you lot gunners DOWN! hez crapp!!Jamani wote mmepotea, kulikoni. Au mzee wa binduki kachapwa
Hamjawahi kuona comeback.......Sasa angalieni kipindi cha pili.........
Barcelona have completed 170 more passes (328) than Arsenal (158) in the first half.
Ohhh kumbe tatizo sio pitch wala Refa......
Huyu mganga wa Arsenal mzuri kweli kweli hehehe ball possession 67% to Arsenal's 33% ngoma bado 1 - 0.
Sasa wavimba macho mnasemaje????? Niliwaambia kuwa hamjawahi kuona comeback.....Nadahani mmeiona na keyboard zenu zitakua zimetulia now...esp. MASA...................
Mkipita nyie; humu ndani patakuwa hapatoshi JF....ni mna kelele nyie sijapata ona.....
Ikipita Barca najua ile ndoo lazima wabebe msimu huu wale wahuni...na mm sitaki hata kuwasikia..
Ata sijui niwe upande gani sasa......
Msaada tutani.