Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal’s results against Manchester United in the Premier League post-Wenger:

2018/19:
untd 2-2 Arsenal

Arsenal 2-0 Man Utd

2019/20: Man Utd 1-1 Arsenal

Arsenal 2-0 Man Utd

2020/21: Man Utd 0-1 Arsenal

Arsenal 0-0 Man Utd
 
Arteta on Smith Rowe:

He played a really good game... he increases the pace and the rhythm of the team when he's on the ball.
 
Willian anampa nini Arteta?

Lacazette kapiga faulo ya kwanza imegonga mwamba kwanini ya pili na ya tatu wamepiga wengine?

Huu ujinga wa backpass alioingia nao Willian ulikua wa kazi gani? Timu inataka kushinda mpo 4 mbele mpira unarudi nyuma ili iweje?

Tumehitaji kupunguza gape la kuingia top four na hivi ndiyo kikosi kinacheza? A win today could have taken us to 7th position with assurance of making it to top 4. Hiki nini sasa?

Ujinga mtupu. Ni rekodi poa kwamba united hajawahi kutufunga tangu 2018 but itamatter nini kama tutakua nje kabisa ya 6.

Inapigwa faulo Luiz anaugonga unaenda nje anashangilia dafuq is that? Celebrating to concede a corner?

Emile ana option ya mtu kulia na kushoto kwake ila anaamua kumrudishia aliye nyuma yake.

Ujinga mnene sana leo. Fvcked up our chances kisha same player atagewa tena namba. Hao united hawana vision hawajui wana mpango gani na mwaka huu au ujao so kwao hii suluhu wanaifurahia.

Jinga moja limefika hapa linakwambia tumekuja kwenu mmeshindwa kutufunga hata hajui ushindi wa kwanza tumeupata kwao hii ni second leg. These type of people ndiyo unakaa hapa wanakuquote wanaandika ujinga wao wanayeya.

Majinga mengine yapo radhi hata yaedit ulichoandika.

Absurd.
 
Willian anampa nini Arteta?

Lacazette kapiga faulo ya kwanza imegonga mwamba kwanini ya pili na ya tatu wamepiga wengine?

Huu ujinga wa backpass alioingia nao Willian ulikua wa kazi gani? Timu inataka kushinda mpo 4 mbele mpira unarudi nyuma ili iweje?

Tumehitaji kupunguza gape la kuingia top four na hivi ndiyo kikosi kinacheza? A win today could have taken us to 7th position with assurance of making it to top 4. Hiki nini sasa?

Ujinga mtupu. Ni rekodi poa kwamba united hajawahi kutufunga tangu 2018 but itamatter nini kama tutakua nje kabisa ya 6.

Inapigwa faulo Luiz anaugonga unaenda nje anashangilia dafuq is that? Celebrating to concede a corner?

Emile ana option ya mtu kulia na kushoto kwake ila anaamua kumrudishia aliye nyuma yake.

Ujinga mnene sana leo. Fvcked up our chances kisha same player atagewa tena namba. Hao united hawana vision hawajui wana mpango gani na mwaka huu au ujao so kwao hii suluhu wanaifurahia.

Jinga moja limefika hapa linakwambia tumekuja kwenu mmeshindwa kutufunga hata hajui ushindi wa kwanza tumeupata kwao hii ni second leg. These type of people ndiyo unakaa hapa wanakuquote wanaandika ujinga wao wanayeya.

Majinga mengine yapo radhi hata yaedit ulichoandika.

Absurd.
Kiukweli binafsi nimeona overall team performance. Nisiwe muongo, sikutegemea Willian angelicheza vile, amejitahidi.

Pepe na Lacazette wamecheza pia, Manchester United haikuwa dhaifu kama wengi wanavyodhani au walivyotegemea.
 
Kiukweli binafsi nimeona overall team performance. Nisiwe muongo, sikutegemea Willian angelicheza vile, amejitahidi.

Pepe na Lacazette wamecheza pia, Manchester United haikuwa dhaifu kama wengi wanavyodhani au walivyotegemea.
Mechi iliyopita Pepe kacheza namba ya Willian.

Mechi hii kuna new signing inayoweza kucheza namba ya Pepe kulikua na tabu gani kubadilisha kwa kumpeleka Pepe LW na Odegaard RW?

Mapenzi uliyonayo kwa Willian ongeza. A player anashindwa kuscore 1 v 1, na siyo mara yake ya kwanza ni tabia yake unasema ameperform vizuri???
 
Errors leading to goals by Arsenal per season:

14-15: 8
15-16: 5
16-17: 4
17-18: 15
18-19: 12
19-20: 5
20-21 so far: 0
 
Kiukweli binafsi nimeona overall team performance. Nisiwe muongo, sikutegemea Willian angelicheza vile, amejitahidi.

Pepe na Lacazette wamecheza pia, Manchester United haikuwa dhaifu kama wengi wanavyodhani au walivyotegemea.
Wilian alibadilisha game mpaka manyumbu wakaona giza

aisee leo nime enjoy kbc mpira wao pia willian kajitahid aisee sema angekuwepo saka auba na kt aisee wasingepata sare
 
Some post match quotes from Mikel Arteta:
On the result
“The fact we had three of our best players out probably had an impact, but I’m really happy with how the players played."
On Aubameyang:
“We have to follow the rules and protocols and the protocols say he can’t be involved right now and we have to respect that.
“I don’t know [when he will be back]. We are working with the Premier League and the Government about it.”
On Mustafi and others leaving before the end of the window:
“There are some conversations going on at the moment. The club is willing to help some of them, whether we find a solution or not, I don’t know."
 
1611967214712.png
 
Mechi iliyopita Pepe kacheza namba ya Willian.

Mechi hii kuna new signing inayoweza kucheza namba ya Pepe kulikua na tabu gani kubadilisha kwa kumpeleka Pepe LW na Odegaard RW?

Mapenzi uliyonayo kwa Willian ongeza. A player anashindwa kuscore 1 v 1, na siyo mara yake ya kwanza ni tabia yake unasema ameperform vizuri???
Castr mimi ni moja ya watu wasiomuelewa Willian nadhani wengi wanafahamu hili, lakini leo ni wazi nimeona amejitahidi katika uchezaji.

Kukosa goli yes, lakini timu yote imeshindwa kutumia nafasi sio Pepe, Lacazette wala ESR ndio maana nikasema overall wamejitahidi.
 
Amejitahidi kweli, hasa kwa kutrack back na kusaidia Cédric na umiliki wa mpira LW.
ukiacha ile nafas aaliyokosa, amecheza vzr, hata kwenye pages za arsenal wanamsifia leo kacheza vzr, na arteta anasema alimuingiza kwa tactica reason, sio kwamba martinell aliumia, martinel alikuwa bora kuzuia kuliko kushambulia,

man u leo tungekamilika wasingetoboa., imagine no auba, kt, saka, bado partey hakuwa fit 100%,

willian ni LW asilia kuliko LW sababu ni right footer zaidi, nilijua tu ataleta impact flani akiingia, arteta aache kumchezesha RW, kule hatapata chochote kwa willian,
 
Kwa hii suluhu ya kizembe najipiga ban kwa muda usiojulikana.
 
Back
Top Bottom