Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naondoka kibanda umiza naenda home kuangalia mpira home kwa uchezaji huu nsije kuaibika mbele ya watu ,nkakae na demu wangu matokeo yakija positive sawa yakija negative nilale zangu
 
kocha alidhamiria kushinda hii game kweli? upuuzi mtupu. hawa wajinga nao wanacheza rafu utafikiri walevi
 
Back
Top Bottom