Tony Adam's just supported this statementMartinelli has been so good defensively today.
Leo muliemtuma hatuwezi.Tunawategemea kuzima mdomo wa hao Man Utd.
kwa uchezaji huu nsije kuaibika mbele ya watu ,nkakae na demu wangu matokeo yakija positive sawa yakija negative nilale zanguHahahaha angalia mkuu na kauli zako sometime zinabeba ukweliSafari ya kurudi tulipo toka inaanza leo.





Hili chama lako ni takataka..Chama langu linasonga kwa mwendo wa farasi au kinyonga!
Leo naona anapoteza sana mipira.Partey sometimes he behaves foolishly
Hamna team nyie Kwa spurs 6 tenaArsenal mumetualibia show