Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,781
- 3,941
Pierre alimiliki albumyanguView attachment 1682510
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app










Daah. Hilo jina lmenchekesha sana
Pierre alimiliki albumyanguView attachment 1682510
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
















We wish him all the bestView attachment 1685443
King of Emirates era, joins Fernabahçe to partner Tanzanian starlet Samatta.
Kuondoka kwake ni kupenda yeye angelibaki hadi tamati ya mkataba, ameeleza hana sababu ya kuiumiza Arsenal na Fans kutokana na wale walionfanyia ugumu kipindi chake cha mwisho.We wish him all the best
Nadhani suala la kugomea pay cut la mshahara mwaka Jana wakati wa Covid19 limechangia kuondoka kwake despite utetezi unaotolewa na Management ya Arsenal
Roman keshafanya yake bado Arteta naye ahesabu siku zake Arsenal hapo
Arteta hawez kufukuzwa ,tuna project nae baada ya miaka 3,ndio atapimwa kama amefel au laRoman keshafanya yake bado Arteta naye ahesabu siku zake Arsenal hapo
mwenye history ya kushusha timu daraja ni ole gunaHamna mwenye ubavu wa kumfuta kazi Arteta.
Arteta atabaki hapo mpaka atakapo ishusha timu daraja.
tangu #Arsene_wenger atoke pale #Arsenal mwaka 2018 Manchester united haijawahi kuifunga Arsenal kwenye ligi ya #EPL mpaka sasaTushamgonga Livakuku bado nyinyi washika manati.
Tarehe 30 ninaimani kuna watu wataaga rasmi humu.
Miaka 3?kwa kuwa mid table team?mpaka sasa Arsenal haieleweki na haisomekiArteta hawez kufukuzwa ,tuna project nae baada ya miaka 3,ndio atapimwa kama amefel au la
Tarehe 30 tunakata mzizi wa fitina.tangu #Arsene_wenger atoke pale #Arsenal mwaka 2018 Manchester united haijawahi kuifunga Arsenal kwenye ligi ya #EPL mpaka sasa
Tangu Kocha wa #Manchester_united #Ole_gunnar_soskjaer aichukue timu kama kocha mkuu ameweza kuzifunga timu kubwa zote kwenye Ligi isipokuwa #Arsenal