Sisi hatutaki misimamo kwenye uzi wetu wa Arse8 wewe...huoni apo bado Chelsea katupita na sisi tunataka tumshushe lakin tunashinda???
Wolves anashinda hii gemu na chelsea. Itakua ngumu foxes wakubambie halafu upone kwa wolves.Sisi hatutaki misimamo kwenye uzi wetu wa Arse8 wewe...huoni apo bado Chelsea katupita na sisi tunataka tumshushe lakin tunashinda???
Recruitment department haina userious na ubingwa, top 4,wala top 6 timu haina AM wa maana tumekuwa wa 10 sababu hiyo mpaka sasa nlitegemea tuwe serious na hii position ila naona ujinga ujinga tuBREAKING: Arsenal have made an approach to Real Madrid for attacking midfielder Martin Ødegaard. Arteta’s a big fan of the player. [
@skysportspaulg
]










Sisi hatutaki misimamo kwenye uzi wetu wa Arse8 wewe...huoni apo bado Chelsea katupita na sisi tunataka tumshushe lakin tunashinda???
Yalaaa...nyavuuuu!!!Pierre alimiliki albumyanguView attachment 1682510
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kwa mwenendo huu unavyoenda nisiwe deluded fan....mpk lamps atakapoondoka tutakuwa tunaanza kuhangaikia top 4Notice nilichoandika.
Top 4 is within reach kama atasajiliwa AM.
Nilichofurahi ni kuona umejitoa katika hizo mbio, now you know your place. Na wenzako watagundua hilo soon.
Afu nyie timu yenu ikafa 2006Timu iliyoanzishwa 2003 inakuaje kubwa? Hata Simba na Yanga zina historia kubwa na makombe mengi kuliko chelsea
Wazia kwamba tangu kifo chetu bado hamtuzidi trophies. Huku mkituzidi kuspend kwenye soko.Afu nyie timu yenu ikafa 2006
Hahaha angekusikia angekuunga mkono. Amesema Chelsea bado haina kikosi cha kuwania makombe. A guy ambaye kaspend 220M na ana kikosi chenye kila kitu anaongea hivyoKwa mwenendo huu unavyoenda nisiwe deluded fan....mpk lamps atakapoondoka tutakuwa tunaanza kuhangaikia top 4
Ni Ashante United.
Ebwana hii chapati imeibuka. Siku hizi imeshazoea vipigo.
Imekua nunda.
Alikua akikuonea wivu ulivyo kua una chapika, na yeye kaona ajiunge kwenye mstari wa kupokea vichapo.
Pambaneni musishuke daraja




bado manyuaNilikuahidi kitu.Alikua akikuonea wivu ulivyo kua una chapika, na yeye kaona ajiunge kwenye mstari wa kupokea vichapo.
Pambaneni musishuke daraja
Hataukisia kufungwa, lakini sio na aseno.Nilikuahidi kitu.
Iwe iwavyo vibonde vyetu viwili lazima tuvibake. Mwenzako kashaoga 3.
Bado wewe, una wiki mbili za kujiandaa.
Hiyo tarehe 30 ni gemu ya pili. Gemu ya kwanza kilikukumba nini?Hataukisia kufungwa, lakini sio na aseno.
Mkuu tarehe 30 utajua kua hujui, tunakurudisha ulipo kua.