Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tukiongelea traits na workrate za AM za anavyotakiwa kua kuna wachezaji mi naamini wanaweza kucheza pale kwenye AM wa kwanza ni Pepe halafu mwingine ni Willian.

Ila tukitumia 4 2 3 1 kisha Pepe akakaa kama AM hapo maana yake RW mwenye domination ya mguu wa kushoto tunakosa, sikumbuki kama tuna foward Left footed mwingine zaidi ya Saka na Pepe. So tutalazimisha right footer wawe LW na RW.

Kingine mi niliwahi kusema kua timu yetu inamiliki mpira ila kuscore ndiyo tatizo, na hiyo ni kwavile wachezaji walikua hawaendi mbele, yaani unaona back passes nyingi kuliko forward passes. Mechi ya leo asipocheza Emile angalau tutaona timu sasa hivi ina akili gani.
Mmmmh sawa mkuu!!!
Partey is not in the squad. He will be back for the next #Arsenal game. (
@ChrisWheatley_
) #a
Sawa mkuu!!
 
Laca alipungua makali msimu uliopita. Ilikua miyeyusho, mzito kwa kila kitu, kukaba, maamuzi, kushuti ilikua ni aibu kumtizama.

Msimu huu ameuanza same. Isipokua anascore ana uzito ule ule ila wakina Saka wanamforce katika baadhi ya mambo haswa maamuzi.

Laca wa msimu uliopita lile shuti alilopiga kwa Brighton ilikua ni mpira kupotea na asisogee kukaba. Hiki kitu nimeona kwa senior players wote.

Goli la Sala dhidi ya West Bromwich ni ushahidi.

Bellerin katoa pasi kwa Saka kisha hakufanya run kwenda mbele ingawa kulikua na nafasi badala yake akawa anarudi nyuma huku akiuomba tena. Means Saka angempa yangekua masihara ya siku zote.

Wakati Saka anapokea mpira pembeni unamuona Xhaka, Xhaka anaonyesha ishara ya kidole badala ya kutanuka na kusogea mbele ili agewe pasi.

Saka akatoa pasi kwa Emile na kufanya run ya kwenda mbele, hapo Xhaka bado kaganda na Bellerin yupo nyuma vilevile.
Emile akamrudishia Saka, kisha Emile akachomoka na kufanya run nyingine ya mbele.

Saka akampa Laca, Laca akatoa diagonal pasi ambayo ikakutana na Emile aliyekua amefanya hiyo run baada ya kumpa pasi Saka. Laca alivyotoa pasi akawa kama kasizi muda anasizi Saka akampita Laca fasta kwenda kwenye boks.

kisha Laca na yeye ndiyo akaanza kwenda mbele, hata hajafika mbali Emile alishatoa pasi kwa Saka na Saka akascore.

kubwa lao ni Auba. Hii movement yote inaendelea hata hakujaribu kujigusa kuingia kwenye box au kwenye 18 alikua mbali kabisa. A guy ameshangaa ile move ilivyokua goli limeingia akashangilia.

Yaani 4 seniors wameshindwa kubadilika. Kutofanya hizi runs ndiyo kumefanya Arsenal imiliki mpira ila scoreboard inatia aibu. Hizi runs za Emile ndiyo zilikosekana kikosi chetu.

Mimi nasema Guendouz arudi, akae pale mid game ambayo yeye, Saka, Tierney, Emile watakua pamoja halafu tuone fighting spirits zikiwa high kama kuna linaloshindikana
Mkuu umemuangalia Guendouzi???
 
Can only imagine Runarsson has played his last game for #AFC - barring injury/suspension for Leno. A second-choice likely to arrive in the summer (Raya) and that’ll be that.
 
That’s the team! No Balogun or Mustafi which could definitely suggest their on their way out along with Özil & Sokratis! Time to progress in the FA Cup... COYG!


Thoughts on the line-up Gooners...?




Image
 
That’s the team! No Balogun or Mustafi which could definitely suggest their on their way out along with Özil & Sokratis! Time to progress in the FA Cup... COYG!


Thoughts on the line-up Gooners...?


Image
Kikosi kiko poa Mkuu !!! Tusubiri dakika 90 tuone matokeo. Tunaomba mkuu tuletee update za mchezo hapa hapa.
 
Back
Top Bottom