Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Omar Rekik ‘follows the call’ from Arsenal’s academy manager Per Mertesacker to join the club from Hertha Berlin, with the 19-year-old defender having signed a four-year contract after both clubs agreed a fee worth €600k. [BILD via
@Sport_Witness
] #afc


Image
 
Arsenal have taken out a £120m loan from the Bank of England in an effort to ease cashflow issues that have mounted during the Covid-19 pandemic. It has been provided by the bank’s Covid corporate financing facility (CCFF). [Guardian] #a
 
The loan, which must be paid back by the end of May along with an undisclosed sum of interest, is designed to cover losses & will not have any impact on Mikel Arteta’s winter transfer plans. The club expect no issues paying it back. [Guardian]
 
Jukwaa limepooza kama mate ya mlevi.
Bola muwe muna fungwa kama kawaida yenu, ili tuje tuwajambishe
Sasa hiv tuko kule kwenu tunawajambisha tu
Hawa Arse8 tuweke kiporo, wakishapigwa tutakuja wajambisha..
 
Thomas Partey is back!
✍Arsenal imepata matokeo mazuri bila ya Partey siku za hivi karibuni, je hii itamuumiza kichaa Mikel?
✍Gabriel nae amerudi, nani kumpisha katika safu ya ulinzi?
 
Thomas Partey is back!
Arsenal imepata matokeo mazuri bila ya Partey siku za hivi karibuni, je hii itamuumiza kichaa Mikel?
Gabriel nae amerudi, nani kumpisha katika safu ya ulinzi?

Pablo Mari anatisha sana ila itabidi atusubiri kidogo tuendelee na Gabriel kwanza.

Gabriel aanze na Holding kwa 4-4-2
 
Police cars revolving light

Turkish A Sport: Fenerbahçe have reached an agreement with Arsenal on the transfer of Mesut Özil.
 
Arteta on critics saying Arsenal 'are crying out for a player like Mesut Ozil' in the team:

"I respect every opinion. But obviously if I believed that he would be in the squad and playing."
 
Mesut downfall isn’t from Emery, Freddie & Arteta days. People tend to forget Arsene Wenger didn’t trust him in big away games in his last 2 seasons at Arsenal and didn’t even take Mesut to that games. But protected him and called him ‘sick’ in most instances
 
Mesut Özil has found a ‘total’ agreement with Fenerbahçe and will join on a 3-and-a-half year deal. #afc
 
Mhhh, hamna lolote.
Kombe la kuku na mchele kilo 5 ndio linichanie msuli wangu?
Njoo kule tarehe 17 kama hajarudi bila meno ya mbele.
Sasa hiv tuko kule kwenu tunawajambisha tu
Hawa Arse8 tuweke kiporo, wakishapigwa tutakuja wajambisha..
 
Kwanza game ya kesho inabidi Gabriel aingie kutoa kutu kwanza.

Pia 4 4 2 siyo poa kwa Arsenal. Tutaumbuka, tuendelee na 4 2 3 1.
Tumwachie kocha yeye anajua mchezaji gani aliye katika kiwango kizuri!!!
 
Kesho tunaanza kampeni ya kutetea kombe la FA. Tumetoka kushinda games tatu mfululizo baada ya Emile kuanzishwa, so imani ya wengi ni uwepo wake ni mchango kwa ushindi wetu.

Kibaya zaidi tunakutana na New Castle ambaye ni mwanaligi mwenzetu so unaona jinsi gani Emile anahitajika hapa. Ila baada ya hii game inafuata game ya ligi na Palace, mashabiki na timu kwa ujumla inahitaji zaidi ushindi kwenye ligi. Hivyo kumchosha au kumrisk Emile haitakiwi.

Lakini kwa userious wote. Tunashinda kwakua Emile ni mzuri kiasi hicho? Mi naona hana uzuri kiasi hicho ila hasiti kusprint na kusogea mbele. Katika games tulizoshinda tulikua na winning probability kubwa kuliko wapinzanji, sababu pekee hatukua tunashinda ni wachezaji kutokua na hamu ya kusogea mbele.

Swala linaloonekana wazi goli la pili dhidi ya West Bromwich.

So Emile apumzike, atahitajika siku ya Palace ila kwa kesho atafutwe mwenye maono na hamu ya kwenda mbele mwingine.
 
Kesho tunaanza kampeni ya kutetea kombe la FA. Tumetoka kushinda games tatu mfululizo baada ya Emile kuanzishwa, so imani ya wengi ni uwepo wake ni mchango kwa ushindi wetu.

Kibaya zaidi tunakutana na New Castle ambaye ni mwanaligi mwenzetu so unaona jinsi gani Emile anahitajika hapa. Ila baada ya hii game inafuata game ya ligi na Palace, mashabiki na timu kwa ujumla inahitaji zaidi ushindi kwenye ligi. Hivyo kumchosha au kumrisk Emile haitakiwi.

Lakini kwa userious wote. Tunashinda kwakua Emile ni mzuri kiasi hicho? Mi naona hana uzuri kiasi hicho ila hasiti kusprint na kusogea mbele. Katika games tulizoshinda tulikua na winning probability kubwa kuliko wapinzanji, sababu pekee hatukua tunashinda ni wachezaji kutokua na hamu ya kusogea mbele.

Swala linaloonekana wazi goli la pili dhidi ya West Bromwich.

So Emile apumzike, atahitajika siku ya Palace ila kwa kesho atafutwe mwenye maono na hamu ya kwenda mbele mwingine.
Kama nani mkuu anaweza akacheza hapo badala ya Emile? Yaani hii ni changamoto sana!.. Wakati ule unasema usajili wa Aour ni muhimu sana kwenye kuliko wa Partey nilikuwaga nakushangaa sana ila sasa hivi ndio nimejua kuwa weww uliona mbali.. Hiyo position inatutesa sana kwa sasa!.. Kimsingi tungekuwa na play Maker wa kariba ya Aour tungekuwa tunapumlia pale kwenye big four!… Partey ni bonge la mchezaji ilà angalau nafasi yake ina watu wanaoweza kucheza pale
 
Kama nani mkuu anaweza akacheza hapo badala ya Emile? Yaani hii ni changamoto sana!.. Wakati ule unasema usajili wa Aour ni muhimu sana kwenye kuliko wa Partey nilikuwaga nakushangaa sana ila sasa hivi ndio nimejua kuwa weww uliona mbali.. Hiyo position inatutesa sana kwa sasa!.. Kimsingi tungekuwa na play Maker wa kariba ya Aour tungekuwa tunapumlia pale kwenye big four!… Partey ni bonge la mchezaji ilà angalau nafasi yake ina watu wanaoweza kucheza pale
Tukiongelea traits na workrate za AM za anavyotakiwa kua kuna wachezaji mi naamini wanaweza kucheza pale kwenye AM wa kwanza ni Pepe halafu mwingine ni Willian.

Ila tukitumia 4 2 3 1 kisha Pepe akakaa kama AM hapo maana yake RW mwenye domination ya mguu wa kushoto tunakosa, sikumbuki kama tuna foward Left footed mwingine zaidi ya Saka na Pepe. So tutalazimisha right footer wawe LW na RW.

Kingine mi niliwahi kusema kua timu yetu inamiliki mpira ila kuscore ndiyo tatizo, na hiyo ni kwavile wachezaji walikua hawaendi mbele, yaani unaona back passes nyingi kuliko forward passes. Mechi ya leo asipocheza Emile angalau tutaona timu sasa hivi ina akili gani.
 
Back
Top Bottom