Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1st goal. Smith rowe
1610222515441.gif
 
Kieran Tierney ‘The Iceman’

Jamaa anapata nickname mpya baada ya kuonekana akifanya adaptation ya haraka kwenye kipindi hiki cha baridi.

Huyu dogo amezaliwa nchini Scotland na kukulia kwenye klabu ya Celtic tangu akiwa mdogo.

Sasa kwa kawaida Scotland huwa na baridi kwa vipindi vingi. Hivyo ametokea kuzoeana na mazingira ya baridi kwa kipindi kirefu.

Sasa tunaona matokeo yake.

Kijana ameonekana kuwa mchangamfu sana hasa akiwa mazoezini, akiwa na ari ya kutosha. Jambo lililomfanya aperform vizuri sana kwenye game ya mwisho ya ligi v West Brom.

Ile game alikiwasha vibaya mno. Baada ya kupata goli, alisikika commentator akitaja jina la ‘The Iceman’

Tusubiri mengi kutoka kwake katika kipindi hiki.

Anatamani hiki kipindi cha baridi kisiishe huyu kijana.

IMG_0354.jpg
 
Kieran Tierney ‘The Iceman’

Jamaa anapata nickname mpya baada ya kuonekana akifanya adaptation ya haraka kwenye kipindi hiki cha baridi.

Huyu dogo amezaliwa nchini Scotland na kukulia kwenye klabu ya Celtic tangu akiwa mdogo.

Sasa kwa kawaida Scotland huwa na baridi kwa vipindi vingi. Hivyo ametokea kuzoeana na mazingira ya baridi kwa kipindi kirefu.

Sasa tunaona matokeo yake.

Kijana ameonekana kuwa mchangamfu sana hasa akiwa mazoezini, akiwa na ari ya kutosha. Jambo lililomfanya aperform vizuri sana kwenye game ya mwisho ya ligi v West Brom.

Ile game alikiwasha vibaya mno. Baada ya kupata goli, alisikika commentator akitaja jina la ‘The Iceman’

Tusubiri mengi kutoka kwake katika kipindi hiki.

Anatamani hiki kipindi cha baridi kisiishe huyu kijana.

View attachment 1673233
Huyu kijana mkuu ananikosha sana kwa kiwango chake kikubwa cha mpira.
 
Kwa sasa timu inatupa umoja na nguvu ya kujiamini mtaani kwa matokeo màzuri uwànjani.
Big up Arsenal, nasi tupo pamoja na timu.
 
Kieran Tierney ‘The Iceman’

Jamaa anapata nickname mpya baada ya kuonekana akifanya adaptation ya haraka kwenye kipindi hiki cha baridi.

Huyu dogo amezaliwa nchini Scotland na kukulia kwenye klabu ya Celtic tangu akiwa mdogo.

Sasa kwa kawaida Scotland huwa na baridi kwa vipindi vingi. Hivyo ametokea kuzoeana na mazingira ya baridi kwa kipindi kirefu.

Sasa tunaona matokeo yake.

Kijana ameonekana kuwa mchangamfu sana hasa akiwa mazoezini, akiwa na ari ya kutosha. Jambo lililomfanya aperform vizuri sana kwenye game ya mwisho ya ligi v West Brom.

Ile game alikiwasha vibaya mno. Baada ya kupata goli, alisikika commentator akitaja jina la ‘The Iceman’

Tusubiri mengi kutoka kwake katika kipindi hiki.

Anatamani hiki kipindi cha baridi kisiishe huyu kijana.

View attachment 1673233
He will prove to be better than Ashley Cole
 
Mtihani unaofuata ni wa Crystal Palace. Hua wanacheza 4 4 2 ila kama watawaonea gere New Castle basi na wao watapaki basi.

Utakua uamuzi mzuri kama kikosi kitakua kama cha jana. Lakini mpaka tunakutana na Palace nafikiri Magalhaes atakua karudi na Thom karudi, Martinell nasikia kaumia. Kama ni minor injury naye atakuepo.

Naona Pablo Mari ana upepo na clean sheet, Luiz kacheza jana ili Holding asichoshwe sidhani kama Arteta ana hamu na Luiz, nawaza Magalhaes akirudi kati ya Mari na Holding nani atampisha huyu jamaa?

Nilisema Elneny atachukua namba ama ya Xhaka au Thom, akachukua namba ya Xhaka, Thom kaumia Xhaka akapata nafasi na anaonyesha kuimprove, workrate kubwa kuliko Elneny, asipokaza Elneny atajikuta analamba mkeka.

Lacazette ana upepo balaa anascore, anaassisst pamoja na udhaifu wake wa kutokua fasta ila anajikuta yupo eneo sahihi kwa muda sahihi na anatumia nafasi ipasavyo. Game na Crystal aanze.

As usual we should not change our winning team.
 
Mtihani unaofuata ni wa Crystal Palace. Hua wanacheza 4 4 2 ila kama watawaonea gere New Castle basi na wao watapaki basi.

Utakua uamuzi mzuri kama kikosi kitakua kama cha jana. Lakini mpaka tunakutana na Palace nafikiri Magalhaes atakua karudi na Thom karudi, Martinell nasikia kaumia. Kama ni minor injury naye atakuepo.

Naona Pablo Mari ana upepo na clean sheet, Luiz kacheza jana ili Holding asichoshwe sidhani kama Arteta ana hamu na Luiz, nawaza Magalhaes akirudi kati ya Mari na Holding nani atampisha huyu jamaa?

Nilisema Elneny atachukua namba ama ya Xhaka au Thom, akachukua namba ya Xhaka, Thom kaumia Xhaka akapata nafasi na anaonyesha kuimprove, workrate kubwa kuliko Elneny, asipokaza Elneny atajikuta analamba mkeka.

Lacazette ana upepo balaa anascore, anaassisst pamoja na udhaifu wake wa kutokua fasta ila anajikuta yupo eneo sahihi kwa muda sahihi na anatumia nafasi ipasavyo. Game na Crystal aanze.

As usual we should not change our winning team.
Sawa mkuu ataanza!!
 
Mtihani unaofuata ni wa Crystal Palace. Hua wanacheza 4 4 2 ila kama watawaonea gere New Castle basi na wao watapaki basi.

Utakua uamuzi mzuri kama kikosi kitakua kama cha jana. Lakini mpaka tunakutana na Palace nafikiri Magalhaes atakua karudi na Thom karudi, Martinell nasikia kaumia. Kama ni minor injury naye atakuepo.

Naona Pablo Mari ana upepo na clean sheet, Luiz kacheza jana ili Holding asichoshwe sidhani kama Arteta ana hamu na Luiz, nawaza Magalhaes akirudi kati ya Mari na Holding nani atampisha huyu jamaa?

Nilisema Elneny atachukua namba ama ya Xhaka au Thom, akachukua namba ya Xhaka, Thom kaumia Xhaka akapata nafasi na anaonyesha kuimprove, workrate kubwa kuliko Elneny, asipokaza Elneny atajikuta analamba mkeka.

Lacazette ana upepo balaa anascore, anaassisst pamoja na udhaifu wake wa kutokua fasta ila anajikuta yupo eneo sahihi kwa muda sahihi na anatumia nafasi ipasavyo. Game na Crystal aanze.

As usual we should not change our winning team.
Nani akae bench kati ya Pablo na Rob? Pablo ni left footed, so is Gabriel, sidhani Mikel anaweza kuweka left footed wawili nyuma. Kama Gabriel anaingia I think Pablo will sit on the bench despite his excellent performance so far. If we stick with our winning team basi Gabriel akae bench, Je, Mikel atamuweka bench?
 
Back
Top Bottom