Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Diego Costa, Isco, Aour and Buendia linked with Arsenal this January.
Sawa nimekupata mkuu!!!Away games ni southampton na wolves. Zilizobaki ni home.
Gari limewaka, jiamini , This is GunnersEwe mshabiki mwenzangu wa Arsenal punguza mihemko isiyo ya lazima.
Hatukupata ushindi mechi kama 7 hivi tukapoteana humu ndani, kushinda hizi mechi 3 ndio unaanza kuwaza ubingwa kweli!, hauwezi kuwa serious.


Tuliza kipele wewe,subiri uje getoni emirates ushindiliwe za kutosha
Diego Costa, Isco, Aour and Buendia linked with Arsenal this January.
Genge la wahuni wa Man hamna uwezo wa kutufunga acheni kelele, tena nxt mechi ni Saka,rowe,Auba,martinelli yaani pale mbele ni show show bandika bandua
Man u sialisha chezea koki za kutosha huyu
Asenane mtatia raha Sana ..jibinjue kuni zinakuja mbnaLigi imeanza upyaaaaaaaa kila mmoja anakaa ktk eneo lake


Acha aliwe tuDuuh!.. Southamptom kamla kichwa riverpool
Kwahiyo mkuu ulikua unangoja Livakuku afungwe ndio ufufue id yako hii?habari zenu jaman, soon tutakuwa pamoja
Once Gunner, always gunner
Wewe tutakuchapa goli za kutosha na kukupigia biriani la kiwango cha juu next round na hautoingia humu kwa aibu #Gunners for lifeKwahiyo mkuu ulikua unangoja Livakuku afungwe ndio ufufue id yako hii?
Ila binafs nime furahi, maana tulimis sana tetesi za usajili za aseno.
Hivi hao wengine huwa mnawafungaje? mbona mkikutana na vidume Gunners hata pasi mbili mnashindwa kupigaMuko nafasi ya ngapi?


