Pweza Boy
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,397
- 3,185
Mkuu tuko pointi10 tu nyuma ya Looserfools wanaoongoza ligi. Makuhakikishia tusipochukua ubingwa tunamaliza ndani ya TOP4Arsenal tunashinda mechi 10 mfululizo na Arteta atakua kocha Bora wa mwezi January
#COYG
#COYG

