Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nahisi kuna siku tutaongoza kumi na zitarudishwa......ha ha ha ha ha,nitalia wiki nzima....l.o.l GOD FORBID!!!

Michelle umeachiwa huru? safi sanaaa nili miss michango yako karibu sana.Nilijua vijana wana dedicate ushindi kwako uko gerezani lool ,kumbe uko nao pamoja.:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:
 
Nahisi kuna siku tutaongoza kumi na zitarudishwa......ha ha ha ha ha,nitalia wiki nzima....l.o.l GOD FORBID!!!


Hahahahahahah kwa defence yetu inavyokuwa inababaika kama wameingia uwanjani kwa mara ya kwanza tangu wazaliwe hili linawezekana Michelle.

 
Van persie anaenda kupumzika kujiandaa na Barcelona.Ningefurahi zaidi kama tungekuwa na goli 3 manake hatuaminiki .
 
So far tuna 14 Goal attempts with two goals...this means probability ya kupata goli ni 1/7 au 0.143.......so ili tuongeze goli we need further more 7 attempts......AW needs to work on his finishing.....Is t that tunakosa sana au Back 4 ya jamaa ni nzuri sana?????????????????
 
Van persie anaenda kupumzika kujiandaa na Barcelona.Ningefurahi zaidi kama tungekuwa na goli 3 manake hatuaminiki .

Hahahahahahaaaaa....hakuna mtu anaejikwaa mara mbili kaka.............Yatakua makusudi kabisa hayo............
 
Michelle umeachiwa huru? safi sanaaa nili miss michango yako karibu sana.Nilijua vijana wana dedicate ushindi kwako uko gerezani lool ,kumbe uko nao pamoja.:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:

Ha ha ha MODS wanampango mzuri na mimi kunirudisha leo,nilimiss nyie pia!!
tukishinda leo basi itakuwa imefuta machungu ya kifungo....l.o.l
 
Ha ha ha MODS wanampango mzuri na mimi kunirudisha leo,nilimiss nyie pia!!
tukishinda leo basi itakuwa imefuta machungu ya kifungo....l.o.l

walitakiwa wakupige warning kwanza nao wame ku-ban direct lol. Kaa mbali na majukwaa ya stress lol (kuna siku bado kidogo nipige ngumi monitor).
 
Huyu Djourou kiboko,Wenger ana haki ya kujivunia.

AW wa jina wako noma kwa kuuza wachezaji bomba. Ikitokea timu inamtaka kwa kuweka dau nono mezani basi usishangae wa jina wako akamuuza.

 
walitakiwa wakupige warning kwanza nao wame ku-ban direct lol. Kaa mbali na majukwaa ya stress lol (kuna siku bado kidogo nipige ngumi monitor).

Ngoja ninyamaze tu,manake hatutamaliza kuwajadili hapa.....tufurahie timu yetu nzuri ya Arsenal.......l.o.l:laugh::laugh:
 
Lile jukwaa la siasa ,linatia hasira sana.

Si uwongo ndugu yangu si ndiyo maana wale Wamisri wakafanya kweli kuchukua nchi yao. Yaliyowakatisha tamaa Wamisri yote yapo Tanzania Viongozi wachache wanafanya ufisadi na kuwa mabilionea huku asilimia kubwa ya Watanzania wanaendelea kutabika. Umeme shida, maji shida, mishahara viduchu. Ngoja niishie hapa nisiharibu kijiwe chetu maana huku ndiko tunakokimbilia ili kupunguza hasira za jukwaa la siasa.

 
Naona West brom walikuwa wanaongoza 3-0 nao mpaka half time sema sasa hivi ngoma imewageukia WBA 3 WESTHAM UTD 3.

Wanavutana mashati kule chini.
 
Back
Top Bottom