Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ahsante mkuu... hawa West Brom leo wakubali kuwa daraja tu maana aina namna
Leo tunajipigia tu! Ila hali ya hewa ni mbaya sana, tharuji imejaa uwanjani.. Napata mashaka wasije wakasema kesi inaahirishwa!.. Ngoja tusubiri tuone
 
Tunaongoza game mpaka matokeo hii half time.

Sam inabidi aachane na hii formation angeendelea na 4 5 1 hii 4 1 4 1 inamshinda
 
Nakuheshimu sana kwenye jukwaa hili kwa sababu ya michango yako humu. Your comment ni kama vile tunafunga kwa sababu ya udhaifu wa Timu pinzani. Siamini hilo.
Siyo siri chief kama kipa wao amekua mwepesi kuanzia mechi tatu za mwisho. Beki ziko strong ila siyo yeye.

And yes, kufunga timu ni kujua upinzani wa timu husika na kuexploit hiyo weakness
 
Back
Top Bottom